Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unaambiwa mchango wa viongozi wote wa serikali ya awamu ya 5 kwa ccm ukiwekwa pamoja haufiki hata robo ya mchango wa MOUPDATES
kauli ya lissu itaishi HAKUNA ALIYESALAMA,WAKIMALIZA KWETU WATAKUJA NA KWENU nafikiri watu hawakumuelewa , MO aliziba masikio alifikiri haimuusu
Hakika hawa watekaji wana upendo sana. Wamemteka, wakakaa nae siku 9 bila mateso yoyote. Kwa mujibu wa IGP walikua wanampa vyakula anavyovipenda. Na akikataa wanamlazimisha.Hapana hujaelewa vizuri mkuu. Gari limevuka mpaka mara 3. Yaani kwa kuingia, kwa kutoka likiwa na Mo, na kuingia tena likiwa na Mo. Yaani hatutapa watekaji wenye huruma kama hawa. Walivuka na Gari hadi Msumbiji ah! Sijui Kenya halafu wamemrudisha Mo na Gari wakatuachia. Fantastic.
Hayati JKN alitahadharisha - ukiisha onja nyama ya mutu.....nimeoteshwa utekaji bado unaendelea. swali kuu who is next?
Aisee, sikutegemea thread ya namna hii, unatushushia hadhi Watanzania.Watanzania tuna mambo ya ajabu sana.
Mo ameshapatikana salama kabisa. Bado tu watu wanachimba chimba. Wanataka nini ?
Embu tusiwe wachokozi. Hii nchi ni ya amani sana. Tuiamini serikali yetu na vyombo vyake vya ulinzi na usalama ndo maana amepatikana akiwa hai. Which means kuna watu wamepambana sana, hawakulala moaka amepatikana.
Tifanye kazi jamani. Tuache nongwa.
Mkuu kuna Hollywood, Bollywood, Nollywood na ikazaliwa Bongomovie na sasa Magogoniwood.Walimpa silaha ya kivita na vingine vidogovidogo. wakampa simu wakamuachia na gari kisha wao wakatembea mwendo kama wa 1.5km na kuzama getini huku wakimwambia "Pambana na hali yako" Ila cha ajabu watu walitoka kwao kumfuata ndugu yao na polisi wakaja kumkuta nyumbani. Kungekuwa walau na uchaguzi ningesema walikuwa bize ku vote usiku wa manane ila walikuwa free kabisa.
Script ishaharibika Mkuu, muandaaji alijitahidi bt alieimalizia kaharibu vyoteMaana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema
Povu.Maswali km haya muwe mnaanza kuulizana kwenu baina yenu,mama yako na nduguzo kisha unatushirikisha nasi!
Nimeipenda hii walahiMaswali km haya muwe mnaanza kuulizana kwenu baina yenu,mama yako na nduguzo kisha unatushirikisha nasi!
Kada mbona hasira?! Hili swala ni la wote, au mnataka mjimilikishe?!Maswali km haya muwe mnaanza kuulizana kwenu baina yenu,mama yako na nduguzo kisha unatushirikisha nasi!
Mo amepatikana, eidha ilipangwa au laa. Muvi imeisha. Wewe ni nini zaidi unachokitaka?Maana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema
Maana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema