Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Nasubiri press conference ya ijipii, ila naomba asiseme kuwa walimteka bila kujulikana na wamemrudisha bila kujulikana.
 
Anayekulinda wewe na mali yako hata ukaweza kila mara kuandika humu JF ni nani? Au anayewalinda hao Mabwana zako, ambao kila kukicha hukimbilia kwenye vyombo vya habari kuilaumu Serikali, kama hufanyavyo humu JF, wakiwa huru na salama, ni nani?
Ni Mungu mwenye nguvu na mamlaka yote.
 
Mimi Nilifikiri Vyombo Vya Ulinzi na Usalama Ndiyo Vilivyofanikiwa Kumpata Kutoka Kwa Watekaji, Kumbe Wamemuokota?

Yani mpaka Watekaji Wameamua Kumuachia wenyewe halafu wanajitapa Kuwa "Eti Wamefanikiwa Kumpata"...

Si waseme tu Kuwa " Wamefanikiwa Kumuokota"
Tena watekaji wamepita hapo hapo kwenye ulinzi wakiwa na confidence kubwa
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Sasa umekuja na theory nyingine .....!!
 
Sirro ndio kawatisha kuwaonyesha wapo kwa mstari na wamejua yao..

Hongera kwa jeshi la Polisi
Jana Sirro alikuwa shujaaa na kawaonyesha ni moto moto na wametikisika haswaaa na kumuachia.
Usisahau kuchukua toilet paper ukachambie mkuu.
 
Yote yatasemwa,ila Tumshukuru Mungu Mo kurudi salama.Maana haikua kitu cha mchezo kuingia kwenye mdomo wa mamba na kutoka salama.
 
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja

Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .

Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??

Tutakesha tukisiburia hilo
Ukiona taifa linaamka na habari mbili-moja ya IGP anaonyesha gari likaelezwa ndilo lilitumika katika utekaji wa MO, na nyingine JPM anakula chakula cha mchana na wachezaji wa Taifa Star Ikulu na kuwapa milioni 50 mengine jaza mwenyewe!
 
Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!

Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?

Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA

Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Ndugu yangu hawa niwakuhurumia tu
hovyo kabisa
Wanatafuta Kiki hata kwa pikipiki hali ni tete
Kilaza anamfariji kilaza mwenzie
 
Wanyonge tumeungana tukapiga kelele tajiri kapatikana,ila hawa matajiri hawajawai kuungana hata kukemea lolote kwa umoja wao ili masikini apatikane.
Tumejifunza.
Unafikiri kapatikana Kwa sababu ya we mnyonge kupiga kelele? Kapatikana sababu ya Utajiri wake.Utajiri wake ndo umesababisha apatikane na wala sio kelele za Wanyonge
 
Anayekulinda wewe na mali yako hata ukaweza kila mara kuandika humu JF ni nani? Au anayewalinda hao Mabwana zako, ambao kila kukicha hukimbilia kwenye vyombo vya habari kuilaumu Serikali, kama hufanyavyo humu JF, wakiwa huru na salama, ni nani?
Hirizi
 
Sio maneno yangu
FB_IMG_15400119082426926.jpeg
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
mkuu hii ransom.inanywa na mamraka halisi za inchinau mahalamia kama wale waliokuwa wakiteka meli za mafuta kule somalia? Kama mamlaka halali za nhi zinaingia huko basi hahitajiki kuwa tajiri.maana ukowa tajiri ni issue
 
Back
Top Bottom