Mohamed Janabi, endelea kuelimisha

Kweli Mkuu? Sasa wewe unatumia ,nini hasa?
 
Wakati unafanya haya wataaalamu wenzio waliobobea wapo kimya huku jamii ikiumizwa na magonjwa mbalimbali na pia ikihujumiwa na wajanja wasio na huruma.
Walikuwa na Programme moja nadhani iliongozwa na Prof. Swai kama sikosei, walizunguka mikoani kwenye taasisi mbalimbali kuelimisha juu ya haya mambo, ilisaidia sana wengi tulijifunza mazuri mengi kwa hiyo crew
 
Nlishikwa njaa
 
Wine Mara moja moja sana. Juice, soda, malt, red bull, maji na nikipata togwa hua inanibariki zaidi.

Vyakula nakula vyote kasoro nyamafu ( aliyejifia bila kuchinjwa)
Red bull ni energy..

Okay angalau unapiga wine..vizuri sana Mkuu!

Mm lites na wine, na kwakuwa Leo ni siku ya mapumziko mapeeema za baridi
 
Kiukweli Watanzania kwenye kujali afya bado sana tunakula bila mpangilio tunaona kula vyakula vingi ndio ufahari baadala ya kula mlo kamili hata kama unapesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…