Kweli Mkuu? Sasa wewe unatumia ,nini hasa?Siufuati sana ushauri wa Dr Bingwa lakini ukimbaumbau wangu ni asili hauna mahusiano kabisa na kufuata maelekezo ya kiafya japo najali afya yangu. Lites sinywi Kwa sababu binafsi na haihusiani na afya. Yaani hata unitumbukize kwenye pipa la korie, natoka vilevile