Mohamed Mchengerwa kuanza ziara kesho mkoani Morogoro

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mtu Kazi) kesho Jumatatu Mei 20, 2024 ataanza ziara mkoani Morogoro kwa ajili ya kukagua shughuli mbalimbali za maendeleo na kutatua kero za wananchi.

TAMISEMI ni Wizara Injini ya Taifa inayomgusa kila mwananchi na Mtu Kazi yuko kazini kufanya kazi za wananchi.

#TamisemiyaWananchi
 
Ahsante Kwa taarifa mkuu.
 

Uchawa umekulipa cdev wamekupa mpaka uafisa tarafa,hongera sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…