Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mpaka hapo ulipoishia ni kuwa message yako inalenga kwenye udini..! acha udini mkuu na propaganda za chuki dhidi ya muislamu na mkristu.
REJEA.

Nakuapieni nyie msingethubutu kumkamata Mkristo anaetoka Vatican mkutanoni. Lakini kwa kuwa mie ni Muislam sina wa kunitetea. Nchi hii nani atakuuliza kwa kumnyanyasa Muislam?” Walishtuka na wakawa wanyonge sana wakasema si kweli kuwa naponzwa na dini yangu.

Tena huyu ni gaidi hatari kabisa, fikiria akiwa na waislamu wenzake wako na faraga atawafunza nini zaidi ya chuki na kuwatusha ?
 
“Mbona hamkunikamata wakati ule?” Nikafungua mlango mwingine nikawaambia, “Nakuapieni nyie msingethubutu kumkamata Mkristo anaetoka Vatican mkutanoni. Lakini kwa kuwa mie ni Muislam sina wa kunitetea. Nchi hii nani atakuuliza kwa kumnyanyasa Muislam?” Walishtuka na wakawa wanyonge sana wakasema si kweli kuwa naponzwa na dini yangu.

Nipipo soma kuona neno Tehran, wazo la kwanza ni madawa , baadae nikaja gundua lengo ni udini. Hebu tafakari ,kuna nafasi ngapi kw amsafiri kutoka Vetican akabeba madawa ,ikiwa n amaana ya kwamba kusafirisha kutoka Europe kuja Africa? na kuna na fasi ngapi ya madawa kusafirishwa toka Iran kuja Tanzania? Walikua sahihi kabisa kukushuku ila kilicho kusumbua ni udini wako.
 
Nipipo soma kuona neno Tehran, wazo la kwanza ni madawa , baadae nikaja gundua lengo ni udini. Hebu tafakari ,kuna nafasi ngapi kw amsafiri kutoka Vetican akabeba madawa ,ikiwa n amaana ya kwamba kusafirisha kutoka Europe kuja Africa? na kuna na fasi ngapi ya madawa kusafirishwa toka Iran kuja Tanzania? Walikua sahihi kabisa kukushuku ila kilicho kusumbua ni udini wako.
Mtoto...
Unanituhumu kwa udini na nadhani tuhuma hii ni kwa sababu mimi nimeweza
kuthubutu kuuliza mengi ambayo wengine walishindwa.

Kubwa ambalo wengi limewachoma ni kule mimi kuandika kitabu cha Abdul
Sykes
na kupitia kitabu kile nikaweza kueleza historia ya TANU na uhuru wa
Tanganyika.

Kwa mara ya kwanza historia ya kweli ya uhuru ikajulikana na majina yale
ambayo kwa miaka yalikuwa hayamo katika historia hii yakajitokeza.

Ikiwa wewe unaona huu ni udini basi hii ni bahati mbaya kwako.

Tuje kwenye mimi kukamatwa uwanja wa ndege kwa kushukiwa kuwa ni
muuza unga.

Tatizo halikuwa unga tatizo langu lilianza Chuo Kikuu Cha Ibadan, Nigeria mwaka
wa 2006.

Nilialikwa kwenye mkutano kuhusu ugaidi na nilitoka mada ambayo iliwakera
Marekani ambao walikuwa waandaaji wa mkutano ule wakishirikiana na Iran na
Chuo Kikuu Cha Ibadan.

Maneno yaliyowachoma ni mimi kueleza historia ya taifa lile katika mauaji mengi
duniani kwa njia za dhulma.

Nikaeleza pia Sheria ya Ugaidi iliyopitishwa Tanzania mwaka wa 2002 na kwa hakika
niliichambua na kueleza athari yake kwa Waislam wa Tanzania na nikatoa mifano ya
vipi Waislam ambao wanajishughulisha na maendeleo ya umma wa Kiislam kwa
miaka mingi walivyokamatwa na kuwekwa mahabusi baada ya kupitishwa sheria hiyo.

(In Shaa Allah nitaiweka hiyo paper mwisho ili uisome na uelewe kile nnilichosema).

Wakati naeleza haya Wamarekani ambao walikuwa na timu kubwa katika mkutano ule
walikuwa wanachukua, ''notes,'' na video.

Mmoja wa waliokuwapo katika mkutano ule alikuwa mwakilishi wa Ubalozi wa Tanzania
kutoka Lagos.

Nilirudi Dar es Salaam salama na nikasahau.

Mwaka unaofuatia yaani 2007 nilialikwa na Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran
kwenye Hawli ya Imam Khomeni.

Iran ilialika watu dunia nzima na mkutano ulikuwa mkubwa.

Tanzania walialikwa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na waandishi wa habari kutoka
''electronic'' na ''print media,'' yaani magazeti na televisheni.

Ilikuwa nilipofika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere ndipo nilipokamatwa kwa
kushukiwa kusafirisha mihadarati.

Nilifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama na nikafanyiwa upekuzi wa mizigo yangu
lakini hapakuwa na chochote.

Wakati mwingine maswali yao yalikuwa ya kuchekesha.

Waliniuliza kwa nini ninaingiza vitabu vya Khomeni Tanzania na mimi nikawa nawajibu
kwa kuwauliza kuwa kwani hauruhusiwi?

Waliniuliza imekuwaje nimefahamika na Iran kiasi cha mimi kualikwa huko.

Nami nikawapa orodha ya nchi ambazo nimealikwa na nimezungumza katika vyuo vyao
na nikawaeleza kuwa hata mimi sifahamu wananijua vipi ila huwa napata mialiko tu na
mimi sijaona haja ya kuwauliza wamenijuaje.

Waliniweka pale uwanja wa ndege hadi asubuhi na wakanieleza kuwa hawawezi kuniachia
hadi wapate maelekezo kutoka juu.

Asubuhi wakaniachia na wakanitaka radhi wakisema kuwa kumekuwa na makosa kwa upande
wao na wakajitolea kunipa usafiri kunipeleka nyumbani kwangu.

Niliwashukuru na nikawaambia kuwa nitachukua taxi.

Kitu kilichonifurahisha ni pale nilipoona wahojaji wangu wakinibebea mizigo yangu hadi nje
ya uwanja huku wakizungumza na mimi kwa adabu na bashasha na kuniambia kuwa ninapopita
hapo nikiwa nasafiri nisikose kuwapitia ofisini kwao kuwasalimu.

Ukweli ni kuwa ile yote ya mie kukamatwa haikuwa katika madawa ya kulevya bali ilitokana
na ile mada ambayo niliwasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan.

Wamarekani hawakupendezewa na yale niliyosema na kwa hivyo walileta taarifa hapa nyumbani
kuhusu mimi.

Haikuishia hapo.

Mimi bila kujua pasi yangu ikawekewa alama ambayo haionekani kwa macho ila inasomeka katika
''computer,'' za Uhamiaji.

Ikawa sasa kila ninaposafiri inajulikana nakwenda wapi na kwa shughuli ipi na nikiwa ''transit,''
napekuliwa kwa uangalifu zaidi.

Nafuatiliwa wapi nimefikia, ''transactions'' za ATM wakati napokea fedha kutoka nje ya nchi na pia
ninapokuwa safarini.

Huchukua zaidi ya siku moja kwa mimi kupokea fedha Western Union jambo ambalo
kwa kawaida ni kazi ya dakika chache.

Kadi yangu ya ATM ilikataa kutoa fedha New York kwa kweli ni hali si nzuri sana.

Nimepata kutolewa katika foleni ya kuingia katika ndege Schipol Airport Amterdam nikielekea
Marekani.

Usumbufu ni mwingi.
Nakuwekea hapo chini paper niliyowasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan ambato ilisababisha haya yote:
Mohamed Said: ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT

s2PB_D6Zc0yg6uFMi0h15d7CLzECylxKDDwRsrYG4jXWbzNjGzBLpZCt3KYdU-sWcOGfcVNQ4xSeP4T0iIbURkGxQj28QOzZk4ny22TWU6IuOuM4N_VJ_EgT8LMs1Rl4VMPKgwOwZaktI242zoQrhy3bLFIWJ-MhvMSdzSUpIzYn3KEOhxycLeYjRztE--SiFQqlPrNKGfxCbTeY5FGaLDoSlce2_4Z3V4ypjGbq8JefCZlIubWvpZ4cxjDpDjchY2wA8U67Y9O2yI4r4kyUzGpmzpEr70M2F3pxuiHiNnzHVcdbPxd9uHslvj6sNfmHDMaumh029sUM3JaJBgR-0N22tHGnCb-9MR1Qfy843-xLeng2eJ5AbAxXoJRIHpeHtkIqoE2g2v-oMZURc5o2M7L_ifsSipFbEATcgTfDNVMVG5p8-LPFnD4vpuaEGscaLY1tVzhj9Brw5cbS2LIUsOs5RHwIVhDpiG8BwbFoWNgjiGu72eHd64rTiAW8rcco3Q5oKkEsS_3aUDAgEbzJERsSqwuo-DDSRa_qSIvjoWP5yrKTO8Fx7pRpOtqw1rglqJTXNrwAWoCsxn0DJkWbIBWpmLjksgVX8m7c6U-OUw=w824-h618-no


Tehran, Iran nikiwa katika Ukumbi wa Mkutano
 
Tena huyu ni gaidi hatari kabisa, fikiria akiwa na waislamu wenzake wako na faraga atawafunza nini zaidi ya chuki na kuwatusha ?
Mtoto...
Hakuna Muislam yeyote Tanzania ambae kashitakiwa kwa kosa la ugaidi
na kutiwa hatiani toka sheria ya ugaidi kupitishwa 2002.

Ingekuwa mimi ni gaidi ningeshakamatwa.
 
Mtoto...
Unanituhumu kwa udini na nadhani tuhuma hii ni kwa sababu mimi nimeweza
kuthubutu kuuliza mengi ambayo wengine walishindwa.

Kubwa ambalo wengi limewachoma ni kule mimi kuandika kitabu cha Abdul
Sykes
na kupitia kitabu kile nikaweza kueleza historia ya TANU na uhuru wa
Tanganyika.

Kwa mara ya kwanza historia ya kweli ya uhuru ikajulikana na majina yale
ambayo kwa miaka yalikuwa hayamo katika historia hii yakajitokeza.

Ikiwa wewe unaona huu ni udini basi hii ni bahati mbaya kwako.

Tuje kwenye mimi kukamatwa uwanja wa ndege kwa kushukiwa kuwa ni
muuza unga.

Tatizo halikuwa unga tatizo langu lilianza Chuo Kikuu Cha Ibadan, Nigeria mwaka
wa 2006.

Nilialikwa kwenye mkutano kuhusu ugaidi na nilitoka mada ambayo iliwakera
Marekani ambao walikuwa waandaaji wa mkutano ule wakishirikiana na Iran na
Chuo Kikuu Cha Ibadan.

Maneno yaliyowachoma ni mimi kueleza historia ya taifa lile katika mauaji mengi
duniani kwa njia za dhulma.

Nikaeleza pia Sheria ya Ugaidi iliyopitishwa Tanzania mwaka wa 2002 na kwa hakika
niliichambua na kueleza athari yake kwa Waislam wa Tanzania na nikatoa mifano ya
vipi Waislam ambao wanajishughulisha na maendeleo ya umma wa Kiislam kwa
miaka mingi walivyokamatwa na kuwekwa mahabusi baada ya kupitishwa sheria hiyo.

(In Shaa Allah nitaiweka hiyo paper mwisho ili uisome na uelewe kile nnilichosema).

Wakati naeleza haya Wamarekani ambao walikuwa na timu kubwa katika mkutano ule
walikuwa wanachukua, ''notes,'' na video.

Mmoja wa waliokuwapo katika mkutano ule alikuwa mwakilishi wa Ubalozi wa Tanzania
kutoka Lagos.

Nilirudi Dar es Salaam salama na nikasahau.

Mwaka unaofuatia yaani 2007 nilialikwa na Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran
kwenye Hawli ya Imam Khomeni.

Iran ilialika watu dunia nzima na mkutano ulikuwa mkubwa.

Tanzania walialikwa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na waandishi wa habari kutoka
''electronic'' na ''print media,'' yaani magazeti na televisheni.

Ilikuwa nilipofika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere ndipo nilipokamatwa kwa
kushukiwa kusafirisha mihadarati.

Nilifanyiwa mahojiano na vyombo vya usalama na nikafanyiwa upekuzi wa mizigo yangu
lakini hapakuwa na chochote.

Wakati mwingine maswali yao yalikuwa ya kuchekesha.

Waliniuliza kwa nini ninaingiza vitabu vya Khomeni Tanzania na mimi nikawa nawajibu
kwa kuwauliza kuwa kwani hauruhusiwi?

Waliniuliza imekuwaje nimefahamika na Iran kiasi cha mimi kualikwa huko.

Nami nikawapa orodha ya nchi ambazo nimealikwa na nimezungumza katika vyuo vyao
na nikawaeleza kuwa hata mimi sifahamu wananijua vipi ila huwa napata mialiko tu na
mimi sijaona haja ya kuwauliza wamenijuaje.

Waliniweka pale uwanja wa ndege hadi asubuhi na wakanieleza kuwa hawawezi kuniachia
hadi wapate maelekezo kutoka juu.

Asubuhi wakaniachia na wakanitaka radhi wakisema kuwa kuekuwa na makosa kwa upande
wao na wakajitolea kunipa usafiri kunipeleka nyumbani kwangu.

Niliwashukuru na nikawaambia kuwa nitachukua taxi.

Kitu kilichonifurahisha ni pale nilipoona wahojaji wangu wakinibebea mizigo yangu hadi nje
ya uwanja huku wakizungumza na mimi kwa adabu na bashasha na kuniambia kuwa ninapopita
hapo nikwa nasafiri nisikose kuwapitia ofisini kwao kuwasalimu.

Ukweli ni kuwa ile yote ya mie kukamatwa haikuwa katika madawa ya kulevya bali ilitokana
na ile mada ambayo niliwasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan.

Wamarekani hawakupendezewa na yale niliyosema na kwa hivyo walileta taarifa hapa nyumbani
kuhusu mimi.

Haikuishia hapo.

Mimi bila kujua pasi yangu ikawekewa alama ambayo haionekani kwa macho ila inasomeka katika
''computer.''

Ikawa sasa kila ninaposafiri inajulikana nakwenda wapi na kwa shughuli ipi na nikiwa ''transit,''
napekuliwa kwa uangalifu zaidi.

Nafuatiliwa wapi nimefikia, transactions za ATM wakati napokea fedha kutoka nje ya nchi na pia
ninapokuwa safarini.

Kadi yangu ya ATM ilikataa kutoa fedha New York kwa kweli ni hali si nzuri sana.

Nimepata kutolewa katika foleni ya kuingia katika ndege Schipol Airport Amterdam nikielekea
Marekani.

Usumbufu ni mwingi.
Nakuwekea hapo chini paper niliyowasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan ambato ilisababisha haya yote:
Mohamed Said: ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT

s2PB_D6Zc0yg6uFMi0h15d7CLzECylxKDDwRsrYG4jXWbzNjGzBLpZCt3KYdU-sWcOGfcVNQ4xSeP4T0iIbURkGxQj28QOzZk4ny22TWU6IuOuM4N_VJ_EgT8LMs1Rl4VMPKgwOwZaktI242zoQrhy3bLFIWJ-MhvMSdzSUpIzYn3KEOhxycLeYjRztE--SiFQqlPrNKGfxCbTeY5FGaLDoSlce2_4Z3V4ypjGbq8JefCZlIubWvpZ4cxjDpDjchY2wA8U67Y9O2yI4r4kyUzGpmzpEr70M2F3pxuiHiNnzHVcdbPxd9uHslvj6sNfmHDMaumh029sUM3JaJBgR-0N22tHGnCb-9MR1Qfy843-xLeng2eJ5AbAxXoJRIHpeHtkIqoE2g2v-oMZURc5o2M7L_ifsSipFbEATcgTfDNVMVG5p8-LPFnD4vpuaEGscaLY1tVzhj9Brw5cbS2LIUsOs5RHwIVhDpiG8BwbFoWNgjiGu72eHd64rTiAW8rcco3Q5oKkEsS_3aUDAgEbzJERsSqwuo-DDSRa_qSIvjoWP5yrKTO8Fx7pRpOtqw1rglqJTXNrwAWoCsxn0DJkWbIBWpmLjksgVX8m7c6U-OUw=w824-h618-no


Tehran, Iran katika Ukumbi wa Mkutano
Mzee Mohammed Said ni mwanahistoria mzuri sana, lakini ungejinafasi kama Mtanzania na si kama mwislamu usingekuwa mjinga kiasi hiki.

Mimi siku zote najihesabu kama Mtanzania na si kama mkristo, usidhani ni wewe peke yako unayesafiri au unakutana na adha hizi.

Sikiliza upande wa sisi wakristo wa majina kwenye passport zetu shida tunazokutana nazo.

Mwaka 1997 nilikuwa naingia South Africa kupitia Border ya Beit brigde, alfajiri ya saa 11 baada tu ya border kufunguliwa tulianza kupita immigration hakukuwa na shida niligongewa entry tena wakati huwa tukitumia Viza, nikapita custom nikawaambia sina mzigo wa kudeclare, kivumbi sehemu ya mwisho ya police check hapo ndipo walipoona passport yangu ya Tanzania mimi peke yangu nikapelekwa kwenye chumba cha upekuzi na kuanza kupekuliwa.

Kwakuwa mimi siyo punda wala mzungu wa unga hawakunikuta na kitu wakaniambia sorry wakaniachia lakini ukumbuke hapo nimeshapoteza muda mwingi na kama ningekuwa nimetoka na basi Lusaka au Harare to Johannesburg maana yake lile basi lingeniacha lakini uzuri mimi nilitoka Harare na usafiri mwisho border.

Ok, kisanga cha pili nilikutana nacho hapo JK Nyerere Airport nilikuwa nikitokea Nice France kupitia Zurich, nilifika Airport Dar saa 1 na dakika 50 usiku lakini amini usiamini kunda ndege tatu zilishusha abiria na abiria wote wametoka mimi bado w nimekomaliwa mule na watu wa uhamiaji na nipo home ground, watu wa usalama wamesachi mizigo yangu wametimuwatimuwa na hawakurudisha kama nilivyokuwa nimeipanga.

Pamoja na mikasa hii yote sijawahi kuihusisha dini na mikasa hii, ule mkasa wa Beit bridge tatizo lilikuwa ni Utanzania wangu na hiki kisi kilichonitokea home ground tatizo ni roho mbaya tu za waswahili hakuna kingine.

Nakumbuka kuna rafiki yangu Mwingereza tulikuwa tukifanyakazi pamoja Cardiff UK siku moja tukiwa njiani akiendesha gari kwenye maongezi na story nyingi aliniambia kitu ambacho mimi nakiamini mpaka kesho, aliniambia black is problem.

Sasa wewe mzee usipobadili mindset yako na kuanza kujihesabu kiutanzania wako na si kiuislamu wako basi utakuwa una ulemavu wa maisha.

Wasomali ni waislamu watupu lakini hawaeleni, na msivyo na aibu mtawasingizia Makafir ndio wanawagombanisha, basi hapa tukubaliane wazi kwamba waislamu ndio jamii ya watu wapuuzi zaidi kuwahi kutokea huku duniani.

Ukienda Uarabuni ni vita ya waislamu Sunni na Shia sasa huko nako kuna mfumo kristo?
 
Matola mimi na wewe ni watu wawili tofauti kwa kila kitu.

Kwangu mimi Uislamu wangu ni kila kitu na wala sioni aibu.

Mimi ni Mohamed Said Salum Abdallah...

Wako waloficha majina yao mimi sijapatapo kufanya hivyo.

Ikiwa kwako huu ni ujinga mimi ni radhi kuwa mjinga.

Mimi si mlemavu ni mzima Alhamdulillah na katika jamii yangu naheshimika sana.

Hayo mengine ya Wasomali si katika hoja tunazojadili hapa hivyo sina la kusema na hizo lugha za matusi "wapuuzi" nk. nimezizoea na nina uwezo wa kuzistahamilia.
 
Ulishawahi kusikia madawa ya kulevya yanatoka Vatican??Ulishawahi kusikia kuna Askofu ameshawahi kufanya Ugaidi au kujilipua??
Matendo ya Waislamu ndiyo yanayowasababishia matatizo duniani....imefika wakati sasa ukiona jitu lenye madevu lililovaa kofia ya ajabuajabu kanzu na makubazi linaogopewa kama gaidi dunia nzima kutokana na matendo ya waislamu
Tumesikia mengi kuhusu ugaidi wa maaskofu ,na ugaidi mkubwa ambao ni bora hata kujilupua NI KUVILAWITI VITOTO VYA KIUME VISIVYO NA HATIA naichukia vatican hii ni kashifa ambayo imekuwa ikitokea mara kwa mara yaani ni katabia pendwa cha maaskofu shame on u
 
Mambo yalianza wakati sasa narudi Dar es Salaam na ndege ya Emirates iliyokuwa inatua usiku. Inaelekea maofisa wa pasi pale uwanjani walikuwa na taarifa zangu mapema na walikuwa wakinisubiri kwa hamu kubwa kwani nilipotoa pasi yangu kwa afisa wa pasi hapo ndipo shughuli za kunishughulikia zilipoaanza.

Mimi sikuwa na hili wala lile. Nikawa namuona yule dada aliyekuwa kwenye kile kizimba akikukurika na pasi yangu akiitia katika mashine na kuitoa mara kadhaa. Fikra iliyonijia kwa haraka ilikuwa mashine ni mbovu na harakati zile zilikuwa ni kurekebisha mitambo.

Kumbe sivyo wahusika nadhani walikuwa wanahakikisha kuwa mimi ndiyo huyo waliokuwa wakimwinda na kumsubiri na sasa kapatikana, kaingia mwenyewe kwenye mtego na kanasa. Yule afisa wa pasi akanambia nikae pembeni natakiwa kwa mahojiano na watu wa usalama.

Hofu haikuwa imeniingia kwa kuwa nilikuwa natambua kuwa harakati dhidi ya ugaidi zilikuwa zimepamba moto na labda nilitakiwa kwa mahojiano mafupi kutaka kujua nyendo zangu. Sikujua wala kutarajia kuwa mshtuko mkubwa ulikuwa unanisubiri.

Nilichukuliwa hadi kwenye chumba kimoja na hapo niliwakuta maofisa wa usalama watatu wakanikaribisha kwa taadhima kisha wakanambia kuwa niko chini ya ulinzi kwa kuwa zimewafikia taarifa zangu kuwa mimi nasafirisha mihadarati. Mpaka hapa sikuwa na hofu bado ilinijia picha kuwa yawezekana wamefananisha majina.

Niliwaambia huenda Mohamed Said muuza madawa ya kulevya siyo mimi niliye mbele yao. Wakaniambia kwa kujiamini kabisa kuwa taarifa zao ni madhubuti muuza unga ni mimi na wamekuwa wakinifuatilia siku nyingi. Hapo ndipo walipotoa pasi yangu na kuniomba niitambue kama hiyo pasi ni yangu au la. Niliwajibu kuwa hakika hiyo ndiyo pasi yangu khasa.

Wakaniamuru sasa tutoke twende nikachukue mizigo yangu ili wafanye upekuzi wa mihadarati katika mizigo niliyotokanayo Tehran. Hapo ndipo nilipojuwa kuwa niko katika lindi kubwa la matatizo na ubongo wangu ukaanza kufanya kazi kwa haraka huku nikisoma dua kumuomba Allah ulinzi wake kwani kwa hakika nilijua kama ni njama zimekamilika na leo imefika siku yangu.

Nikajiuliza itakuwaje watakapotoa madawa kwenye mizigo yangu. Nikaanza kufikiri vichwa vya habari vya magazeti yatakavyopambwa na habari zangu. Ikanijia yakini kuwa watu wa usalama wameniwekea madawa ya kulevya katika mizigo yangu ili waniangamize na maadui zangu wapumzike na shari yangu.

Nilimgeukia yule ofisa mkuu aliyekuwa ananihoji nikamwambia kuwa sitokubali kugusa mizigo yangu bila kuwapo mashahidi isijekuwa mizigo yangu ishawekewa hayo madawa ya kulevya kwani nilikotoka Tehran mizigo ilikuwa imekaguliwa na ilikuwa salama.

Hoja yangu kubwa kwao ilikuwa kupata uhakika kutoka kwao kuwa wananijua vizuri kiasi cha kuthibitisha kuwa kweli mie ni msafirishaji wa madawa ya kulevya. Jibu nililopewa ni kuwa wao wanafanya kazi kutokana na taarifa zilizowafikia. Wakasema, “Sisi tunazo taarifa zako kamili kuwa wewe ni msafirisha madawa ya kulevya.”

Nikawauliza,“Baada ya kupata taarifa hizo zangu nyie mmechunguza kutafuta ukweli?” Wakasema, “Ndiyo maana leo tumekukamata.” Nikawaambia, “Si kweli kama kwa sababu mie nafahamika Dar es Salaam takriban kwingi maana ndio nilikozaliwa na kukulia. Hapo Kariakoo ukiwaambia watu kuwa Mohamed ni “Mzungu wa Unga” kila mtu atacheka maana huo kwao ndugu zangu ni mzaha mbaya.”

Walitaka kujua nilkwenda kufanya nini Iran. Niliwaambia nilialikwa na serikali ya huko kuhudhuria mkutano. Wakataka kujua vipi nilipata mwaliko. Nikawajibu kuwa hilo swali sina jibu labda waiulize serikali ya Iran. Nikawaeleza kuwa mbona siku zote napita hapo uwanjani nikenda sehemu tofauti duniani kwa mialiko na kutoa mada sijakamatwa kimezidi nini katika hii safari ya Iran?

Niliwaeleza kuwa miezi michache iliyopita nilikuwa Chuo Kikuu Cha Ibadan kwa mwaliko tena mkutano umefadhiliwa na serikali ya Marekani na wamenipa na tiketi toka Dar es Salaam hadi Lagos na kuniweka hoteli na kunilipa fedha.

“Mbona hamkunikamata wakati ule?” Nikafungua mlango mwingine nikawaambia, “Nakuapieni nyie msingethubutu kumkamata Mkristo anaetoka Vatican mkutanoni. Lakini kwa kuwa mie ni Muislam sina wa kunitetea. Nchi hii nani atakuuliza kwa kumnyanyasa Muislam?” Walishtuka na wakawa wanyonge sana wakasema si kweli kuwa naponzwa na dini yangu.

Baada ya kukurukakara nyingi na mabishano makubwa kuhusu mie kukubali kufanyiwa upekuzi wa mizigo yangu alikuja binti mmoja katika wao na yeye akanihakikishia kuwa wao ni serikali na sio wahuni. Hawathubutu kuniwekea dawa katika mizigo yangu hivyo akanisihi sana kwa upole nikubali ili wajitoe wasiwasi na wataniachia endapo hakuna kitu.

Niliomba apatikane shahidi wa kushuhudia mizigo yangu kabla ya kufanyiwa upekuzi lakini hakuna mtu aliyekubali kuchukua dhima ile katika maofisa waliokuwa kazini pale uwanja wa ndege usiku ule. Upekuzi ukafanyika hadi mwilini. Hakuna kitu. Wakanipela katika choo maalum cha kutolea madawa kwa njia ya haja kubwa.

Nikakataa kujisaidia pale. Ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kuona choo kama kile. Choo chenyewe ni cha aluminium. Tofauti na vyoo vya pale ambavyo siku zote ni vichafu, hiki kilikuwa kisafi sana kiasi mtu unaweza hata kutengewa chakula na akala bila ya kuhisi kinyaa.

Nilitegemea wataweka ahadi yao kuwa ikiwa hawatakuta madawa ya kulevya katika mizigo yangu watanirejeshea uhuru wangu wataniachia niende nyumbani. Haikuwa hivyo. Wakanirudisha ofisini kwao. Sasa wakaacha madawa ya kulevya wakahamia katika vitabu na “audio cassette” nilizokuwa nimepewa kama zawadi kule Tehran wakaniluliza kwa nini naingiza vitu vile khasa kanda za Khomeni na vitabu vyake nchini. Nikawauliza, “Kwani kanda na vitabu vya Khomeni haviruhusiwi kuingizwa Tanzania?
Kwa kweli serikali yetu ni mtihani sana. Naomba siku moja mungu alete uhuru uliyo wa haki mana hakuna haki. Udini umekuwa ndio kigezo kibubwa tz.
 
Bafa,
Sasa nimekupata.
Hebu soma hapo chini:
Kilichobaki sasa ni kueleza sababu ya mimi kukamatwa. Mwaka wa 2006 Chuo Kikuu cha Ibadan, Nigeria kilifanya kongamano la kimataifa hapo chuoni kwao kuzungumza kuhusu Ugaidi katika Afrika ya Mashariki na Maendeleo (Conference on Islam, Terrorism and African Development). Mimi ninlitoa mada iliyokuwa na anuani hii: Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience. Katika mada hii nilijikita mahsusi katika kuisema Marekani kwa udhalimu wao duniani. Nikaeleza kuwa huo udhalimu wao ndiyo unaopelekea wao kuchukiwa dunia nzima. Hapa ningependa kufahamisha kuwa mkutano huu wafadhili wakubwa walikuwa Iran na Marekani. Saudi Arabia ilikataa kuchangia mkutano ule. Wakati nasema maneno haya ya kuwakanyanga wenyewe Waamerika wapo hapo mkutanoni.

Baada ya kuwalani Waamerika sasa nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi. Hapa nikaeleza kuwa Waamerika wasione kuwa Tanzania imepitisha sheria hiyo ya ugaidi kwa haraka kwa sababu Tanzania ina tatizo na ugaidi. Nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa na kupitishwa kwa sheria hiyo hakuna uhusiano wowote na ugaidi ila Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam wakitumia serikali ya Marekani kama upawa wao wa kuopolea chinyango ya moto kwenye chungu kinachotokota. Nikauchekesha mkutano kwa kuwaambia kuwa Wamarekani wamefanywa wajinga na Kanisa kwa kuchonganishwa na Waislam wa Tanzania ambao hawana ugomvi nao asilani. Baada ya kusema hayo nikahitimisha kwa kueleza nguvu ya Waislam Tanzania, kwanza kwa wingi wao na kisha kwa historia yao iliyotukuka iliyodumu takriban miaka mia wakipambana na ukoloni wa Wajerumani kwa silaha (1905 - 1907), kisha ukoloni wa Waingereza (1929 1961) na kuhitimisha kwa kuleta uhuru na kuanzia 1961 hadi sasa wanapambana na nguvu ya kanisa katika kupiga vita Uislam.

Kufikia hapa ukumbi ukawa umepata joto. Wanigeria wamesimama kutaka niwaeleze vipi Waislam watakuwa wamepigania uhuru kisha wako wengi nchini wanaruhusu wao kufanywa raia daraja la pili. Wakashangazwa kuwa hata historia ya mashujaa Waislam waliopigana Maji Maji na kunyongwa na wakoloni na mashujaa walipigania uhuru wa Tanganyika hawatajwi katika historia ya ukombozi. Nilitoa majibu kadri Allah alivyoniwezesha. Nakumbuka kitu kimoja walichosema wale ndugu zetu Wahausa. Walisema hali hiyo iliyoko kwenu haiwezekani kutokea Nigeria kwa kuwa hiyo itakuwa na sawa na kutangaza vita. Kisha wakanihakikishia kuwa sheria hiyo ya ugaidi haitapitishwa Nigeria hata siku moja.

Wapashaji habari wangu wakajanieleza baadae ni hili hitimisho langu ndilo lililosababisha Wamarekani kuleta taarifa Dar es Salaam kutaka taarifa zangu za “ugaidi” ikawa sasa sababu imepatikana ya mimi kushughulikiwa na vyombo vya dola. Ndipo ikatengenezwa hadithi ya kuku na ng’ombe dume (cock and bull story) kuwa Mohamed Said ni Mzungu wa Unga kwa hiyo akamatwe.
Inshaallah Allah akuepushe na fitina. Uisalamu nikusema kwl hata ukichukiwa Allah atakulinda inshallah.
 
Mkuu Mohamed

Nina swali dogo sana,hivi kati ya mabinti zako ulio nao,akatokea mhindu au mkristo au mpagani kabisa anataka kumuoa,na wamependana ni watu wazima kwa hiyari yao,utakubali kumuozesha bintiyo kwa huyu mtu?

Kwanini una chuki sana na dini zingine hasa ukristo?Tatizo lako ni nini hasa?

Dini iliyoujaza moyo wako chuki kubwa namna hiyo haikufai...hiyo mifumo unayoisemea an innocent christian do not know them but again unamchukia huyu poor human being...

Usinidanganye huna chuki,you have an embedded hatred inherently in you....huwenda huwezi jua ila unayo,ukikataa ni denial tu.

I wonder mtu unaishi kwa hatred namna hii dunia hii sababu tu kuna kitabu kimesema hivyo....hizi dini ni za kuacha altogether...mwanadamu uliekamilika,mwenye ubongo sahihi,huna haja ya kufuata alichoandika mwanadamu mwenzio eti ukifuata ndio maisha sahihi wakati na yeye naye ana madhaifu ya kibanadamu kama wewe...hebu sometimes tutumie common sense tusisababishe maumivu kwa wanadamu wenzetu...dini ni useless na ni vyanzo vya chuki,hii ni kweli ni proven.
ogopa halama hzi * alafu #
kwa nini * ina simama mfano:umejaribu kutafuta jamii ikuelewe kwa mda mrefu.
# ina simama mfano:kutokana na jamii kuto kuelewa umbaki kwa nini mimi.
zama iliyo kwa ndugu zetu waislamu wana # inayo wasumbua kuona kila jambo wao wanakandamizwa kutokana na wakristo.
mfano:mkoloni mwarabu alipo kuja hapa hakuja kwa misingi ya kufungua shure ndo maana shule zote tanganyika ni mishionari na wakoloni wajerumani na waingereza.kikubwa zaidi mwarabu tunacho shukuru kueneza dini na biashara zake.zama iliyo jengwa na mwarabu ndiyo ilipelekea hata babu zetu wanatuambia kipndi icho shule za kikoloni ndizo zilikuwa zimeletwa na wamisionari na wajerumani,wingereza wao waliona kuwa zimekuja kuwabadilisha dini na kuzuia watoto kusoma .ndo maana miaka ya nyuma na kidogo unakuta wasomi ni wengi wakristo si kwa udini kama nilivo toka kukuelezea nyuma hapo.
sitaki kufikia dini yoyote kwa lengo la kuchafua.# hii ndiyo iliyobaki kwa waislamu wengi kuona kama walionewa na kupandikiza chuki kwa watu wengi,na hata ukienda kwenye miazara mingi,# ndiyo inapandikizwa sana.
ni jukumu la waislamu kuelewa wapi palipo fanya kuonekana #.ndio maana unaona waislamu wengi nao wanajikita kwenye elimu siyo kama hile historia kwa ufupi niliyo kuwa nayo tu.
wote wamoja tujue nchi yetu si kutengana kwa rangi.
 
Bagamoyo,
Hayo usemayo si kweli kuwa wanaoingia katika nchi kama Saudi Arabia, Iran nk
wanafanyiwa mahojiano.

Nchi zote hizo ulizotaja nyingi nimefika na sijayaona hayo.
Ikiwa hayo yatafanyika itakuwa makhsusi kwa sababu maalum.

Hao Wamarekani wao wana kawaida ya kutaka kujua kila kitu
duniani na mimi nilikuwa na elimu ambayo wao walikuwa hawana.

Kabla ya kualikwa Marekani nilikuwa katika mradi wa Harvard na
Oxford University Press, New York wa kuandika Dictionary of
African Biography (DAB) kuanzia 2008.

Mradi huu ulikuwa wa kuandika historia ya watu mashuhuri Afrika
waliofanya mambo ya kutukuka.

Waliniletea orodha ya wanasiasa wengi wa Tanzania na kutaka
niwafahamishe ikiwa katika hiyo orodha wao watu, ''remarkable,''
ambao lazima watambulike.

Kazi hii ilikamilika 2011 na buku likatoka lina volume 6.

Kipindi hiki nilikuwa katika mradi mwingine na
Oxford University Press Nairobi kuandika vitabu vya historia kwa shule za msingi.

Labda nnikufahamishe kuwa nilikuwa member wa Library of Congress
toka 1980s.

Makala zangu nyingi zipo hapo Library of Congress.

Kwa hiyo mimi na rafiki zangu Wamarekani hatukukutana barabarani
chembelecho Edward Lowassa.

Urafiki wetu ni wa miaka mingi.

Tumegombana kwenye suala la Uislam baada ya mie kuandika hiyo
paper ya Ibadan.

Nitakuwekea link ya DAB hapo chini.

Sasa ndugu yangu wewe unajiandikia kwa dhana tu ukidhani kuwa
unajua.

Mohamed Said: KLEIST SYKES (1894 - 1949) KATIKA DICTIONARY OF AFRICAN BIOGRAPHY (DAB) OXFORD UNIVERSITY PRESS, NEW YORK

OpmpW5oZts8Ith7i6lSivWsqkp5OurvJf1ElyogVTYwDJ9uTtyZc_K-HJ71szPTqr7bC2wdkcRRvF69oyfGiEsHkeyRcAW1pL3A9ySxbsL1zPOztXoG3c3yy7fWXXeeUziPCwny7BjVTkyHYyTw8oezb4CBTzz6dOYZPdX_rFk5wAUKPPrwPDcZ_7jaAjiJzjDsM19OAQb859NcvSQLlQDpUZvHcgNJK3gGqjWKBZFais_M1Vr5f_MOiP2bEExXm9LFOz8cXjfULTjwR3tFJsuv53SG6zSYEh6Wbp1ZVWmjCs-iSjeMi6qTc9sqavfKFI6nb8Os1_VzS9I4jEFgoL3tNG5_eey2YM1NYtK92XjstsUGTaV1tdoBIN6fZ6GfPg-AJ3w_mOezRhjmmTxlMAnYK7cftsntJwOdTFXP1chRWQK8hQWpoYafL_mgfs4mwMX15L7pEeL1i8xR1iR61hQsO-_7tNM1MUmqPkk2tVm1u17ddOPteWlwDLUsyDrMG1uXREvoboJCuleZZmMZCbMW1kTbTHnxr9lGWfbaMlRBTW2S4WQyOA1D703pLtfQkz7HAbazV0oE5d4h9mSmoKgT5Ojm-5MAF2HV5lOEaaz-C_499jEeP=w1034-h692-no

Library of Congress, Washington DC
Kiukweli mi kwenye suala la dini sipendi kuchangia sana kwa sababu kila mtu atazungumzia dini yake na wengine kuponda dini ya mwenzake.

Ila napenda kuwa muwazi kuwa marekani haipendi kabisa dini ya kiislam kwa sababu zao na inataka sana support ya nchi nyingi.

Vile vile waislam na waarab hawawapendi wamarekani kwa sababu ya kutengwa na kushutumiwa hasa katika misimamo yao ya kidini.

Mi nadhani chimbuko la uhasama huu ni kwa sababu mmarekani anataka kutawala dunia, kujiweka kuwa yeye ni polisi wa dunia, kukandamiza nchi za kiarabu ili ziwe chini yake na kuweza ku-explore vizuri mafuta.

Na kwa kuwa mafuta ndo yanaifanya nchi za kiarabu kuwa na maendeleo, hata hela yake kuwa juu zaidi ya dollar, basi hapo ndo vita ya biashara,kiuchumi na kimaendeleo huanzia hapo na ndo chanzo cha nchi za kiarabu kuwekewa masharti na marekani au kushambuliwa ili zisinyanyuke kuizidi marekani na ndo vita vya mara kwa mara na kunyang'anywa mafuta na kudhoofishwa.

Ila kwa kuwa jamii ya kiislam huwa na hasira za haraka na kuwa aggressive ukizungumzia dini au jambo lolote la dini, na hata wao kwa wao kugombana kisa kushutumiana jambo pasipo kufanyia research au kuwa na subira, hapo ndo marekani anapochezea karata yake na bila ajizi marekani anafanikiwa sana kwa hilo. Kumbuka kuwa vita vyote hivi tunavyoshuhudia, basi niliyoyaeleza hapo juu tactic hyo hutumika.

Pia ikumbukwe kuwa marekani nayo hutumia kufunika history ya viongozi wa kiislam, basi hapo ndo utashangaa kuona wasomi wa kiislam nao hawataki historia hizo zipotezwe na sababu hiyo ndo ndugu yangu hapa mohamed said anaitetea sana kila sehemu.

Nahitimisha kwa kusema kuwa nawaasa ndugu zangu waislam, historia iliyopita haina nafasi katika ulimwengu huu wa science na technology. Hebu fanyeni km libya, ambapo kiongozi wao alietolewa madarakani, hakuangalia na kukazania historia bali aliweza kujenga shule nyingi, kusomesha wananchi wake wengi na hivyo watu hao kuishi vizuri,kuendeleza nchi, huku wakiwa wamesoma.

Ningependa tushindane kuhusu dini zetu kwa maendeleo. Wakristo waliachiwa sana properties nyingi na wamisionari kama vile nyumba, shule, makanisa, mahospital na vitega uchumi kibao.

Tuachane na mashindano ya kusaka historia maana kipindi hiki ni cha technolojia, anzisheni shule nyingi, vitega uchumi vingi, shule nyingi, somesheni watoto wenu wengi sana, mjenge na sehemu nyingi sana za ibada. Changisheni hata hela sehemu za ibada kama wakristo ili mshindane kwa maendeleo na si kwa historia huku elimu mkiwa nyuma sana.

Na mtaeleweka na mtaonekana kuwa mna busara, kuliko baadhi yenu kushika bunduki, kujitoa mhanga, mabishano ya siasa na mengineyo yasiyo na tija.

Ila hongera mkuu kwa kazi nzuri unayoifanya japokuwa marekani walikutafsiri kivingine. Suala la kila siku kuwa na negative thinking kuwa mnaonewa, toeni vichwani mwenu maana mtashindwa kupata maendeleo wakati wengine wakiendelea kuwazidi, najua kwa hilo mtaendelea na kuwazidi hata wazungu.
 
Kiukweli mi kwenye suala la dini sipendi kuchangia sana kwa sababu kila mtu atazungumzia dini yake na wengine kuponda dini ya mwenzake.

Ila napenda kuwa muwazi kuwa marekani haipendi kabisa dini ya kiislam kwa sababu zao na inataka sana support ya nchi nyingi.

Vile vile waislam na waarab hawawapendi wamarekani kwa sababu ya kutengwa na kushutumiwa hasa katika misimamo yao ya kidini.

Mi nadhani chimbuko la uhasama huu ni kwa sababu mmarekani anataka kutawala dunia, kujiweka kuwa yeye ni polisi wa dunia, kukandamiza nchi za kiarabu ili ziwe chini yake na kuweza ku-explore vizuri mafuta.

Na kwa kuwa mafuta ndo yanaifanya nchi za kiarabu kuwa na maendeleo, hata hela yake kuwa juu zaidi ya dollar, basi hapo ndo vita ya biashara,kiuchumi na kimaendeleo huanzia hapo na ndo chanzo cha nchi za kiarabu kuwekewa masharti na marekani au kushambuliwa ili zisinyanyuke kuizidi marekani na ndo vita vya mara kwa mara na kunyang'anywa mafuta na kudhoofishwa.

Ila kwa kuwa jamii ya kiislam huwa na hasira za haraka na kuwa aggressive ukizungumzia dini au jambo lolote la dini, na hata wao kwa wao kugombana kisa kushutumiana jambo pasipo kufanyia research au kuwa na subira, hapo ndo marekani anapochezea karata yake na bila ajizi marekani anafanikiwa sana kwa hilo. Kumbuka kuwa vita vyote hivi tunavyoshuhudia, basi niliyoyaeleza hapo juu tactic hyo hutumika.

Pia ikumbukwe kuwa marekani nayo hutumia kufunika history ya viongozi wa kiislam, basi hapo ndo utashangaa kuona wasomi wa kiislam nao hawataki historia hizo zipotezwe na sababu hiyo ndo ndugu yangu hapa mohamed said anaitetea sana kila sehemu.

Nahitimisha kwa kusema kuwa nawaasa ndugu zangu waislam, historia iliyopita haina nafasi katika ulimwengu huu wa science na technology. Hebu fanyeni km libya, ambapo kiongozi wao alietolewa madarakani, hakuangalia na kukazania historia bali aliweza kujenga shule nyingi, kusomesha wananchi wake wengi na hivyo watu hao kuishi vizuri,kuendeleza nchi, huku wakiwa wamesoma.

Ningependa tushindane kuhusu dini zetu kwa maendeleo. Wakristo waliachiwa sana properties nyingi na wamisionari kama vile nyumba, shule, makanisa, mahospital na vitega uchumi kibao.

Tuachane na mashindano ya kusaka historia maana kipindi hiki ni cha technolojia, anzisheni shule nyingi, vitega uchumi vingi, shule nyingi, somesheni watoto wenu wengi sana, mjenge na sehemu nyingi sana za ibada. Changisheni hata hela sehemu za ibada kama wakristo ili mshindane kwa maendeleo na si kwa historia huku elimu mkiwa nyuma sana.

Na mtaeleweka na mtaonekana kuwa mna busara, kuliko baadhi yenu kushika bunduki, kujitoa mhanga, mabishano ya siasa na mengineyo yasiyo na tija.

Ila hongera mkuu kwa kazi nzuri unayoifanya japokuwa marekani walikutafsiri kivingine. Suala la kila siku kuwa na negative thinking kuwa mnaonewa, toeni vichwani mwenu maana mtashindwa kupata maendeleo wakati wengine wakiendelea kuwazidi, najua kwa hilo mtaendelea na kuwazidi hata wazungu.
Safi sna
 
Mbona huwa mkiguswa kidogo mnakimbilia kinga ya dini hio ni inferiority complex kwani maovu wameandikiwa watu wa dini Fulani,kama upo sawa acha wafanye kazi yao km hawajakutendea haki zipo mamlaka husika za juu unaweza kwenda kutoa malalamiko yako pia mahakama zipo kukutetea pia. Me MTU akianza kuhususisha dini ktk mambo namuona ana shida kidogo. Wao ufanya kazi Kwa taarifa wape ushiriano na pia ni haki yako kuwa na shahidi kabla ya kupekuliwa.
Hufahamu kitu kwa sababu hayajakukuta,kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!!
 
Back
Top Bottom