Mohamed Salah asaini kandarasi ya miaka 5 na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi katika historia ya klabu

Kifupi ikifika jumapili saa 6 dakika 1 usiku akaunti yake inasoma Milioni 600 Tsh
Mishahara ya UK kwa wanaolipwa kwa week ni kila ijumaa account inacheka. Saa sita na dk zake usiku wa ijumaa account inakua ishanona
 
Daaah ila bado ndefu sana


Kuna Ronaldo mwenye 360,000 GBP pia Mbappe yupo kwenye range hiyo hiyo pia. Halafu unamkuta Lionel Messi wanasema anaweza kuwa anachukua 500,000+ GBP kwa wiki.

Ndio dunia ilivyo. Hata huwa sihuzuniki sababu hao jamaa ni nyota. Isingekuwa fair mtu ambae anaangaliwa na Watu bilioni kila mechi awe sawa kipato na mwalimu au Daktari ukiachilia mbali kuwa vilabu hivyo vinaingiza mamia ya mabilioni kwa kimoja kimoja na vingine kama Manchester United vinaingiza takribani Tsh Trillion 2 (TZS 2,000,000,000,000/=) na vimeingiza pesa nyingi hizo kwa ajili ya jasho na vipaji vya hao nyota
 
Mishahara ya UK kwa wanaolipwa kwa week ni kila ijumaa account inacheka. Saa sita na dk zake usiku wa ijumaa account inakua ishanona
Dah kumbe ijumaa
Ndo mana sishangai waafrika kwenye timu za afrika wanaocheza UK walikua wanacheza kama hawataki ili wasiumie na ligi inakaribia kuanza wasipoteze mamilioni kwa wiki
 

Fact kiongozi nimekuelewa vizuri kabisa, yani umeongea point moja muhimu sana. Nashkuru bro MASAMILA..hata kama ni mimi ningekuwa UK ningechenchia huko huko kwenda USD.. pesa yetu haina thamani kila siku inashuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…