Alaa, kumbe imeshuka hadi 3000 !
Nilichokuwa nimemsahihisha huyo jamaa ni kuwa mara nyingi kama mtu atatumia rate wanazooffer hawa Bureau de change inabidi atumie bei ya "SELL" na sio "BUY" sababu currency ambazo sio hard currency Bureau de change zote duniani huziwekea spread kubwa ili kucompensate faida tofauti na hard currency. Mfano mimi ningekuwa naishi UK basi ninaporudi TZ ningekuwa nabadili GBP kwenda USD huko huko ndio kisha nije kubadili kwenda Madafu nikishatua Bongo, nisipofanya hivyo nitakuwa ninapoteza zaidi ya shilingi mia mbili kwa kila pauni nitakayoibadilishia ambapo , kwa mfano kwa pauni elfu kumi kama nitachange huku bongo tayari nimepoteza kama milioni mbili unlike ningechange kule kule UK kwenda USD