Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishazidiwa viongozi matokeo yake utazidiwa kila kituKwa kipi haswa walicho nacho kutuzidi, iwe akili iwe mali asili hawana kitu kutuzidi.
Kwetu changamoto ni viongozi tuu
Changamoto ni Uadilifu kwa kila mmoja wetuKwa kipi haswa walicho nacho kutuzidi, iwe akili iwe mali asili hawana kitu kutuzidi.
Kwetu changamoto ni viongozi tuu
Hiyo data umepata wapi? Nchi zenye mitaji mikubwa ukiacha G7 ni BRICS, hizo za middle east ni zipi unazosema? Tupe data....Au unataka kusema Israel? Labda! UAE ni sawa lakini ni nchi moja tu kaka Mohamed Salum, usivutwe na jambo usilolijua kwa ajili ya ushabiki,asili au dini....Ongea ukweli.Mwanasheria Mohamed Salum amesema Nchi zenye mitaji ya uwekezaji mkubwa duniani kwa sasa zipo Uarabuni.
Waarabu hawa wamewekeza kwenye nchi nyingi duniani ikiwemo Ulaya. Kwa DP World wana mtaji mkubwa wa kifedha, hakuna nchi inayofanya biashara bila kuruhusu sekta binafsi.
Amesisitiza kuwa nchi za Mashariki ya Kati ndio zinamiliki uchumi wa dunia kwa sasa hivyo nadharia za kutajana majina (Mabeberu) hazitatupeleka popote.
Ametoa jibu hili kwa mdau aliyetaja kufahamu ni kwa namna gani DP World ambayo ni kampuni ya waarabu (Mabeberu) ilivyo safi, kwa kukumbuka kuwa ndugu zetu wa Loriondo wamepitia mateso makubwa yaliyosababishwa na waarabu.
Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
U have a very good point ,issue kubwa ambayo wananchi wanatakiwa kwenda nayo ni hiyo, lakini wao mara muarabu mara mzanzibari mara uislamu hapo ndio wanspoteza nguvu ya hoja zao .Hakuna anaebisha kwa hilo tunachotaka ni kurekebishwa vipengele vyenye utata ni hayo tu.
Nawewe utamilikiwa nao soonMan City, PSG , Newcastle FC zote ziko chini ya warabu na ndo zinatetemesha soka la Ulaya. Soon Man Utd nae anaenda kuwa chini ya warabu
Huo ndo ukweli.
Israel kuna njaa na dhiki hali ys maishz ni ngumu sana, uae, saudi arabia, qatar ,kuwait etc wananchi wana kipato kikubwa ndio maana wakenya wengi sasahivi wapo huko wamechungulia fursa wewe utabakia na ulokole wako kuendeleza chuki zako ,wale hawakopi bank mzee kama matajiri wa kizungu wengi na hawana propaganda ila hela yao inaongea, wazungu wenyewe walikaa midomo wazi kwa jinsi qatar walivyoonyesha kufuru ya hela kwenye kombe la duniaHiyo data umepata wapi? Nchi zenye mitaji mikubwa ukiacha G7 ni BRICS, hizo za middle east ni zipi unazosema? Tupe data....Au unataka kusema Israel? Labda! UAE ni sawa lakini ni nchi moja tu kaka Mohamed Salum, usivutwe na jambo usilolijua kwa ajili ya ushabiki,asili au dini....Ongea ukweli.
WAnaonufaika ni waarabu au wazungu?Man City, PSG , Newcastle FC zote ziko chini ya warabu na ndo zinatetemesha soka la Ulaya. Soon Man Utd nae anaenda kuwa chini ya warabu
Huo ndo ukweli.
Haya ndiyo madhara ya kuongozwa na viongozi wajinga ambao wameshindwa kufikiri na wanataka kuongoza nchi kwa mawazo ya kuazima.Mwanasheria Mohamed Salum amesema Nchi zenye mitaji ya uwekezaji mkubwa duniani kwa sasa zipo Uarabuni.
Waarabu hawa wamewekeza kwenye nchi nyingi duniani ikiwemo Ulaya. Kwa DP World wana mtaji mkubwa wa kifedha, hakuna nchi inayofanya biashara bila kuruhusu sekta binafsi.
Amesisitiza kuwa nchi za Mashariki ya Kati ndio zinamiliki uchumi wa dunia kwa sasa hivyo nadharia za kutajana majina (Mabeberu) hazitatupeleka popote.
Ametoa jibu hili kwa mdau aliyetaja kufahamu ni kwa namna gani DP World ambayo ni kampuni ya waarabu (Mabeberu) ilivyo safi, kwa kukumbuka kuwa ndugu zetu wa Loriondo wamepitia mateso makubwa yaliyosababishwa na waarabu.
Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
Its business wote wananufaika, huyu anaingiza mtaji akitegemea kupata faida ,huyu mzungu anapata kodi ,ajira etc ,ndio ulimwengu wa biashara ulivyo hakuna cha bureWAnaonufaika ni waarabu au wazungu?
Nonsense.Man City, PSG , Newcastle FC zote ziko chini ya warabu na ndo zinatetemesha soka la Ulaya. Soon Man Utd nae anaenda kuwa chini ya warabu
Huo ndo ukweli.
Kwa hiyo huruhusu raslimali zetu zichukuliwe kienyeji kwa mikataba ya hivyo ya kifisadi? Ulaya wanaweza kukubali mkataba kama huu wa DPWIts business wote wananufaika, huyu anaingiza mtaji akitegemea kupata faida ,huyu mzungu anapata kodi ,ajira etc ,ndio ulimwengu wa biashara ulivyo hakuna cha bure
Kwani hujui kwamba dp world wapo hadi uingereza, na marekani walikataliwa kwa sababu tu ni waarabu na kwamba itahatarisha usalama wai ukizingatia sera zao kuhusu waarabu, ila bush alishakubali wapewe bandariKwa hiyo huruhusu raslimali zetu zichukuliwe kienyeji kwa mikataba ya hivyo ya kifisadi? Ulaya wanaweza kukubali mkataba kama huu wa DPW