FAnya ukasome mkuu maana mnaandika vitu havielewekiKumbe sasa hivi tuna Mwanasheria Mkuu Muslim, du sikufahamu.
Awamu hii Muslim mkikosa vyeo,mtajilaumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FAnya ukasome mkuu maana mnaandika vitu havielewekiKumbe sasa hivi tuna Mwanasheria Mkuu Muslim, du sikufahamu.
Awamu hii Muslim mkikosa vyeo,mtajilaumu sana.
Wao wanatoa pesa top management hakuna mwarabu hata mmoja kama ilivyo DPMan City, PSG , Newcastle FC zote ziko chini ya warabu na ndo zinatetemesha soka la Ulaya. Soon Man Utd nae anaenda kuwa chini ya warabu
Huo ndo ukweli.
Ndio maana nasema wanaopinga huu mkataba wanashindwa kufocus kwenye hoja za msingi ndio maana wanaonekana walalamishi, mara muarabu ,mara uislamu hivi wewe kwa akili yako unaweza kumsikiliza mtu anayeleta hoja kama hizi kwenye mkataba?Kwa hiyo huruhusu raslimali zetu zichukuliwe kienyeji kwa mikataba ya hivyo ya kifisadi? Ulaya wanaweza kukubali mkataba kama huu wa DPW
Kwa hiyo unataka muarabu arudi kuwa mtawala africa .....wewe unafananisha mambo ya kuwekeza na kuuza nchi hakuna anaye mpinga muarabu kuwekeza watu wanapinga kuuzwa kwa nchi ...aliye kuambia ulaya waarabu wameuziwa nchi ni nani? Ulisha sikia ya loliondo kutokea ulaya kwa sababu ya muarabu ? Kwa mzungu thamani ya mbwa wa ulaya ni kubwa kuliko waarabu 1000 ila kwetu sisi tuna ua wamasai kisa kumpendelea muarabu.....ona hapa subuana watara kashikiwa mwamvuli[emoji116]Man City, PSG , Newcastle FC zote ziko chini ya warabu na ndo zinatetemesha soka la Ulaya. Soon Man Utd nae anaenda kuwa chini ya warabu
Huo ndo ukweli.
Sawa ila hawajachukuwa BandariMan City, PSG , Newcastle FC zote ziko chini ya warabu na ndo zinatetemesha soka la Ulaya. Soon Man Utd nae anaenda kuwa chini ya warabu
Huo ndo ukweli.
kwanza Bandari ya Southampton Uingereza anahudumia nani?Sawa ila hawajachukuwa Bandari
Nendeni mkawape Yanga waarabu basi
Kwani Bandari ya Southampton Uingereza anahudumia nani?Nonsense.
Rasilimali za taifa kuwekwa rehani ni zaidi ya kuimiliki PSG, Man City, na Newcastle.
Amelipwa sh ngapi?Mwanasheria Mohamed Salum amesema Nchi zenye mitaji ya uwekezaji mkubwa duniani kwa sasa zipo Uarabuni.
Waarabu hawa wamewekeza kwenye nchi nyingi duniani ikiwemo Ulaya. Kwa DP World wana mtaji mkubwa wa kifedha, hakuna nchi inayofanya biashara bila kuruhusu sekta binafsi.
Amesisitiza kuwa nchi za Mashariki ya Kati ndio zinamiliki uchumi wa dunia kwa sasa hivyo nadharia za kutajana majina (Mabeberu) hazitatupeleka popote.
Ametoa jibu hili kwa mdau aliyetaja kufahamu ni kwa namna gani DP World ambayo ni kampuni ya waarabu (Mabeberu) ilivyo safi, kwa kukumbuka kuwa ndugu zetu wa Loriondo wamepitia mateso makubwa yaliyosababishwa na waarabu.
Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
Ujinga mtupu. Mataifa ya kiarabu mpaka leo yanapambana kuvutia wawekezaji yakitoa vivutio vingi, halafu huyu asiyejua chochote anasema kuwa mataifa ya kiarabu ndiyo yenye mitaji mikubwa ya kuwekeza nje ya mataifa yao!! Ujinga mkubwa.Mwanasheria Mohamed Salum amesema Nchi zenye mitaji ya uwekezaji mkubwa duniani kwa sasa zipo Uarabuni.
Waarabu hawa wamewekeza kwenye nchi nyingi duniani ikiwemo Ulaya. Kwa DP World wana mtaji mkubwa wa kifedha, hakuna nchi inayofanya biashara bila kuruhusu sekta binafsi.
Amesisitiza kuwa nchi za Mashariki ya Kati ndio zinamiliki uchumi wa dunia kwa sasa hivyo nadharia za kutajana majina (Mabeberu) hazitatupeleka popote.
Ametoa jibu hili kwa mdau aliyetaja kufahamu ni kwa namna gani DP World ambayo ni kampuni ya waarabu (Mabeberu) ilivyo safi, kwa kukumbuka kuwa ndugu zetu wa Loriondo wamepitia mateso makubwa yaliyosababishwa na waarabu.
Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali (Clubhouse)
Kwani kuna mtu anapiga mwarabu kuwekeza? tatizo ni terms za mkataba hazipo wazi na siyo rafiki kwa baadaeUjinga mtupu. Mataifa ya kiarabu mpaka leo yanapambana kuvutia wawekezaji yakitoa vivutio vingi, halafu huyu asiyejua chochote anasema kuwa mataifa ya kiarabu ndiyo yenye mitaji mikubwa ya kuwekeza nje ya mataifa yao!! Ujinga mkubwa.
04-14-23 | 12:00 PM
Saudi Arabia targets foreign investment with launch of four special economic zones
Lord jaribu ku act kama mtu mwenye akili!! Hakuna anaepinga warabu kuwekeza nchini, bali watu wanakosoa aina ya some articles kweny mkataba!!Man City, PSG , Newcastle FC zote ziko chini ya warabu na ndo zinatetemesha soka la Ulaya. Soon Man Utd nae anaenda kuwa chini ya warabu
Huo ndo ukweli.
Kwa kipi haswa walicho nacho kutuzidi, iwe akili iwe mali asili hawana kitu kutuzidi.
Kwetu changamoto ni viongozi tuu
Wametuzidi akili ya uzalendo wa kusimamia rasilimali zao kwa faida ya wote. Mtu mweusi anasumbuliwa na ubinafsi. Hiki ndiyo kirusi kikuu cha magonjwa yote anayoumwa mtu mweusi.Hakuna lolote, kwa dunia ya sasa hakuna taarifa zisizo wazi, sote tunajua mbivu mbichi zao , conclusion hawana cha sana kutuzidi.
Yaani wewe unawaza kuletewa tende na kanzu maskini!.Hivi wewe ni muislam kuliko wasomali na Djibout.Jiulize kwa nini waliwakataa DP Word?Wagalatia hawatokuelewa
Warabu ndio wenye fedha sasaiv duniani nmmmbwa wewe, nyie wagalatia kazi yenu Qupyuni mekndyuYaani wewe unawaza kuletewa tende na kanzu maskini!.Hivi wewe ni muislam kuliko wasomali na Djibout.Jiulize kwa nini waliwakataa DP Word?