Mohammed Dewji vs S.S Bakhressa

Mohammed Dewji vs S.S Bakhressa

halafu cha ajabu,wakati SSB amepambana kwa zaidi ya miaka 40 kufika hapo alipo na MO naye amerithi biashara ya baba ambaye alianza kupambana tangu miaka ya 70,GSM wao wamekuwa mabilionea ndani ya miezi michache tu baada ya JPM kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha tawala.

hapo ndio utajua watu na bahati zao.
Hebu rudia kuhusu GSM tafadhali sana
 
Usiangalie FAW 500 peke yake
Kuna Amana bank
Malls Msasani, Dubai, na nchi nyingine nyingi tu
Kuna cement plants
Magodoro
Mabati
Pikipiki assembly line
Shipping co
Etc etc
sikuwahi isikia GSM mwaka 2014-2015.kinachoningaza zaidi ni utajiri wao wa mda mfupi halafu wana orodha kibao ya vitega uchumi.would like to know the secret behind the short period of their success.
 
Kutajwa huko forbes inabidi kulipia na kujaza ma form ya kujifagilia. Dewji ni bishoo anayo time hio...atajaza kila mahali na kuhudhuria kila mkutano feki ya kutoa medali feki juu ya biashara na utajiri.
Ukiangalia bidhaa zake nyingi zinatoka iran na malaysia. Sabuni
Pasta zote zinatoka iran ila huandikwa MO.
Bakhressa hana time ya kujaza jaza mifomu ya kitapeli...waswahili wana sema chema chajiuza wenyewe...
Huu ubishoo wa dewji umezidi baba ake ndo kinara wa kila kitu.. huyu kakaa kimyaa
Mo insuarance ndo ya mwisho hapa Tanzania.
 
Ni kweli Dewji ana pesa... Mtu anaye invest kwenye energy, steel, real estate na viwanda lazima amkimbize muuza Nazi , maandazi, ice cream etc.
Dewji anauwezo.
Dewji hana investment yoyote ya energy na real estate.
viwanda vyake ni vya mafutta ya kula na maji na juice.
bidhaa nyengine anazi park nje iran na kuzileta Tz ..
bakhressa amejikita katika usafiri wa meli
chakula
na mambo mengi
 
Wadau kuna tetesi Yale malori ya Mo yaliyopigwa moto na waasi kule Kongo ni kwa sababu ya chuki za kibiashara .....? Mo namkubali sana huyo jamaa alivyofanya ubunifu kwenye biashara ya maji ya chupa nilimpigia saluti...very creative
Yale malori ni ya Azim dewji...hawana uhusiano na MO
 
sikuwahi isikia GSM mwaka 2014-2015.kinachoningaza zaidi ni utajiri wao wa mda mfupi halafu wana orodha kibao ya vitega uchumi.would like to know the secret behind the short period of their success.
sio short period kivile,wenzenu wanatafuta noti tangu miaka ya 50,
sema sasa GSM ndo wanaingia kwenye manufacturing,
bado ni wachanga kulinganisha na bakheresa au MO
 
sio short period kivile,wenzenu wanatafuta noti tangu miaka ya 50,
sema sasa GSM ndo wanaingia kwenye manufacturing,
bado ni wachanga kulinganisha na bakheresa au MO
basi sawa
 
kitu ambcho mnatakiwa kujua... GSM sio kampuni mpya.... ila ni ile ile ya watu wa Home shopping center.... baada ya kuona mamb hayaelewek huku (Home shopping center) nd wakaamua kufnya partnership na kampun kubwa dunian ya GSM.. ila wamilik ni wal wale waaarabu wa Home shopping centre.
 
MO moja kati ya biashara yake kubwa ni exporter wa ufuta; kama mjuavyo tz ndo inaongoza kwa kuuza ufuta nje barani Africa na ya tatu dunian basi hyo biashara ni ya MO. Hapo kibongo bongo hatuwezi ona muzunguko wake ila jamaa anahesabu dollars
 
habari za mida wakuu

kama kichwa cha habari kinavyosema. nimekua nikifatilia habari za watuwengi waliofanikia na wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje.

kutoka katika takwimu za forbes za mwaka 2016, tajiri namba moja africa na tanzania na ambaye ni kijana zaidi ni Mohammed Dewji akiwa na thamani ya dola za marekani bilioni 1.3 huku mzee Bakhressa akiwa tajiri wa tatu tanzania akiwa na thamani ya dola za marekani 575.

kwa macho ya kawaida bidhaa za bakhressa zimetapakaa afrika mashariki yote na zinatumika kwa wingi zaidi hasa tanzania huku dewji bidhaa zake sio zilizokua sikoni kwa wingi

hili limekua likinipa wakati mgumu kukubaliana na taarifa ya jarida hili. labda sifahamu vyanzo vyao vyengine vya mapato au pia sifahamu vigezo vya forbes wanavyotumia kupata thamani ya utajiri wa mtu

naomba wajuzi zaidi mnifahamishe
MOO ANA ZAIDI YA VIWANDA 42 VINAVYOZALISHA BIDHAA TOFAUTI,, SO HAPO MUNAWEZA KUKOMPEA NA BAKHRESA.........................
 
Back
Top Bottom