Pre GE2025 Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X

Pre GE2025 Mohammed Kawaida: Naipa Serikali miezi minne iwe imefungia Mtandao wa X

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''

Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida

Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Huu ndio ubunifu wake, hawa ndio vichwa wa Taifa, tuna kazi sana
 
View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''

Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida

Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Yeye kama nani?
 
Serikali ndo ina mpango wa kuifungia Twitter, ila Huyu kawaida ni jini tyuuh anatumwaa.
Anaiamuru Serikali yeye km nanii? Mxxxxxxiiiiiieeeeew
 
Kwahiyo mtandao wa X (zamani Tweeter) ukifungwa, yeye huyo Mohamed kawaida atawaletea mtandao mwingine wa kutuumia?

Ama CCM imekuja na mtandao wake mbadala wa Wananchi kutuumia baada ya hiyo Tweeter??

Bora ukose mali upate akili 🙌
 
Back
Top Bottom