babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ushaambiwa katika 10-9 ni wendawazimuafya ya akili imekua ni janga kwa hii nchi
Huyu ana nafasi 2 kabisa.
Inabaki 7 na yule 1 mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaambiwa katika 10-9 ni wendawazimuafya ya akili imekua ni janga kwa hii nchi
Huu ndio ubunifu wake, hawa ndio vichwa wa Taifa, tuna kazi sanaView attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''
Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida
Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Yeye kama nani?View attachment 3045327
''Serikali wameomba tuwape muda ni sawa, lakini kwa muda ambao nimekadiria ili serikali iweze kufanya maamuzi, hili suala kweli wanataka kulichambua walione likoje nawapa miezi minne (4) huu ukiwa mwezi wa pili nimebakiza miezi miwili nisipoona wamechukua hatua nitatoka tena kupiga zogo''
Mwenyekiti wa UVCCM na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
Mohammed Ali Kawaida
Pia soma=> Kuelekea 2025 - UVCCM waitaka Serikali kuifungia X (zamani Tittwer)
Imagine hawa ndio waandaliwa na ccm kuwa viongozi? Taifa lina tabu sana mbeleniHuu ndio ubunifu wake, hawa ndio vichwa wa Taifa, tuna kazi sana
🙏🏼mitandao ya kijamii inawasumbua nini kwani
si wajibu hoja tu
Mfumo wa rushwa na kujuanakuna machizi mengi, na yameaminiwa yakapewa ofisi
Huyo huko CCM ndio angalau ukilinganisha na anaowaongeza. Vijana wa CCM na akili ni ardhi na mbinguHivi huyu ilikuwaje mpk akawa mwenyekiti wa vijana?? 😹😹😹
🤣🤣🤣🤣Kama kajinga,
Wow umerudi kwa hii, hongera odo. Yaani sijui hawa washamba washamba wanawatolea wapi. Kimekaa kishambashamba na mawazo yake ya kishamba tu. Katumwa ila ndiyo wajaze washamba aina hii?Hivi huyu ilikuwaje mpk akawa mwenyekiti wa vijana?? 😹😹😹