Mohammed Matumla vs Wang Xing Hua ni hatari tupu leo Diamond Jubilee

Hivi ni kweli mashali ""KACHIMBA"(kakimbia)? Kama ni hivyo ina maana Kalama alijua kama atakimbia?maana kwenye advertise ya mpambano alisema kama mashali atakimbia atamtafuta na RB akiwa askari shirikishi wake ili aje apande ulingoni!
 
hahahaha kweli Maugo alidhamiria kuuwa... alisema hakatizi round ya 5 vipi kweli hajafika au??

jamaa sidhani kama alifika na alikuwa ana uwawa kwenye ulingo maana alipigwa ngumi akashindwa kunyanyuka..
 
Hivi ni kweli mashali ""KACHIMBA"(kakimbia)? Kama ni hivyo ina maana Kalama alijua kama atakimbia?maana kwenye advertise ya mpambano alisema kama mashali atakimbia atamtafuta na RB akiwa askari shirikishi wake ili aje apande ulingoni!

Teh Teh jamaa kaogopa kufa ulingoni....
 
Utabiri wangu Matumla atashinda kwa knockout
 
jamaa sidhani kama alifika na alikuwa ana uwawa kwenye ulingo maana alipigwa ngumi akashindwa kunyanyuka..

Huyu Kaseba aache tu ngumi huku hakuwezi arudi kurusha mateke huko, haiwezekani kila siku anapigwa yeye tu, Cheka, Mashali na Maugo wote wamemdunda
 
Karama nyalawila kashinda!
Asha ngendere kapigwa..
 
Inaonekana jf kuna washabiki wachache wa ndondi,ingekua mtibwa na yanga update kila baada ya dakika moja tungepata humu!!
 
Utabiri wangu Matumla atashinda kwa knockout

Kwa nilivyo Muangalia Matumla anaweza anaweza kufia kwenye ulingo na mchina aliahidi kumua kabisa..
 
King Mada Maugo.. namkubali ila misifa ya kujiita mbunge mtarajiwa wa Rorya sipendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…