Ududu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 1,020
- 556
Leo ni leo tusubiri kuthibitishiwa ule usemi ''Mtoto wa nyoka ni nyoka' au mtoto wa nyoka leo atakua mjusi pale ambapo bondia Mohammed Matumla toka Tanzania watazipiga na Wang Xing Hua toka China.
Pambano lingine leo la utangulizi ni kati ya Mada Maugo na Japhet Kaseba.
Binafsi nina imani sana na watoto wa Keko hivyo naamini Mohammed Matumla hawezi kutuangusha watanzania.
Ombi: Waandaaji wapunguze kiingilio mana Tsh 20, 000 ni nyingi sana ukizingatia hali za wapenzi wengi wa ndondi hapa Tanzania.
Tutakuwa pamoja Live nami kutoka hapa Diamond Jubilee kuanzia mida ya saa 12:30 jioni.
============
============
Mohammed Matumla ameshinda kwa pointi