mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
De Mtatuzi amenifundisha sana pindi la Hesabu nikiwa form two na three mwaka 2001 - 2002 baadae akaniita nikawa ninafundisha naye.
Baadae De Mtatuzi akaja akahamia huku Ilala Boma karibia na makaburi pamoja na nyumba za NHCMimi alinifundisha form 5 algebra
ooh sawa kumbe wewe ni mkongwe sana aisee nilikuwa nafikiri ni chaliiBaadae De Mtatuzi akaja akahamia huku Ilala Boma karibia na makaburi pamoja na nyumba za NHC
ooh sawa kumbe wewe ni mkongwe sana aisee nilikuwa nafikiri ni chaliiBaadae De Mtatuzi akaja akahamia huku Ilala Boma karibia na makaburi pamoja na nyumba za NHC
Nilimaliza form six mwaka 2006ooh sawa kumbe wewe ni mkongwe sana aisee nilikuwa nafikiri ni chalii
Nilimaliza form six mwaka 2006
Mkuu, humu JF kuna watu walimaliza form six mwaka 1981 na tupo nao tunabishana daily ndio maana nilkuwa ninawapa shikamoo zao Mimi mdogo/mtoto wao infantry solder lakini hakuna hata mmoja alikuwa anaitikia. Hakika uzee mwisho Twitter.mimi nilimaliza 2008.
Sasa unajua nilikuwa nikiona mada zako za kuuliza mambo mbalimbali na ukawa unaanza kwa sentensi "Mimi ni mdogo wenu infantry solder nahitaji kuelekezwa" nikawa nafikiri wewe ni fresh graduate
Mkuu, humu JF kuna watu walimaliza form six mwaka 1981 na tupo nao tunabishana daily ndio maana nilkuwa ninawapa shikamoo zao Mimi mdogo/mtoto wao infantry solder lakini hakuna hata mmoja alikuwa anaitikia. Hakika uzee mwisho Twitter.
Poa mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umesomeka mkuu
mkuu uko sahihi. Huyo mwanamke anaroho mbaya sana . wewe jaribu kumfuatilia humu ni mbaya zaidi ya Delila. Jumlisha yuko kwa maccm ndo balaa zaid shetani akasome.Una roho ya kutu.tena wewe ni maskini wa roho na Mali.isitoshe uko ccm wewe sio bure
Mi nilisoma kwa Osama, ila Mudy dah
R. I. P Mudy
Wewe jamaa, unawazaje!!Nauliza tuu hivi covid19 bado ipo?
Mohamed Ngaola.Muddy physics legend from Massachusetts Institute of technology MIT.RIP