Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo wanajf wote wamesoma advanced physics dah.
Innallillah wainnallilah raajuniKwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa:
Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale Mchikichini, MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER.
Amefariki dunia jioni hii. Tumuombeeni duniani huyu mtabe aliyewafanya baadhi ya watu kuwa tulipo hivi sasa.
Innallillah wainnallilah raajuni
Uzi kuhusu maisha na waalimu wa Mchinikichini
Tuliosoma mchikichini tution tukutane hapa tukumbushie vituko tulivyokutana navyo
Hivi mtegetwa na Sir White Man Complex nani mkali? Mtegetwa mtu mbaya wewe amenitolea B ya geography olevalwww.jamiiforums.com
View attachment 1624762
Mimi binafsi najiuliza kama wewe maana naona wanaondoka bila kuumwa mfano mc zipompa mim naona ugonjwa upo tz ila hatujielewi tufanyajeNauliza tuu hivi covid19 bado ipo?
Wanafunzi wa Kibaha,Mzumbe,Iboru tulikuwa nao kibao hapo kwa Muddy na kumbuka kuna wengine tulikuwa tunashinda nao kwa mzee Kibiriti Mwisho wa Lami tunapiga practical za Chemistry.Inaonesha shule nyingi za day Dsm zilikua hazina Walimu wazuri wa Masomo ya Sayansi
Ukitofautisha na Shule za Boarding kama Minaki, Pugu, Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Moshi Tech
Huku kulikua na Walimu wa kutosha mpaka wanagawana Topics. Au Wanafunzi wanachagua wasome Topic ipi kwa Mwl yupi.
Minaki kulikuwa na mwalimu wa physics?? utakuwa umesoma private brooh,huyu moddy ndo alikuw Mkombozi wetuInaonesha shule nyingi za day Dsm zilikua hazina Walimu wazuri wa Masomo ya Sayansi
Ukitofautisha na Shule za Boarding kama Minaki, Pugu, Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Moshi Tech
Huku kulikua na Walimu wa kutosha mpaka wanagawana Topics. Au Wanafunzi wanachagua wasome Topic ipi kwa Mwl yupi.
Lumumba,Amri Abeid,Shaban Robert,Mugabe,Mkwawa,luthuliRIP mwamba kupitia wew cjui ile B ya physics ningeipataje,na IYUNGA TECH ningefikaje pumzika bro
Hahaa mzee Kibiriti wa Pugu secondary,Nilikua natoka Benjamin mkapa High School mpaka Pugu 2009 kwa huyo MzeeWanafunzi wa Kibaha,Mzumbe,Iboru tulikuwa nao kibao hapo kwa Muddy na kumbuka kuna wengine tulikuwa tunashinda nao kwa mzee Kibiriti Mwisho wa Lami tunapiga practical za Chemistry.
Shule za serikali matatizo yake yanafanana 100%.
Hivi yupo?Hahaa mzee Kibiriti wa Pugu secondary,Nilikua natoka Benjamin mkapa High School mpaka Pugu 2009 kwa huyo Mzee
Pugu secondary kupitia kiberiti tumewasaidia sana wanafunzi kufaulu practicals za chemistry.Hahaa mzee Kibiriti wa Pugu secondary,Nilikua natoka Benjamin mkapa High School mpaka Pugu 2009 kwa huyo Mzee
dah kitambo sana, mzee aliipatia sana thermochemistry, nakumbuka yale ma chemical alikuwa anayaweka kwenye chupa za plastic za maji ya Uhai , dahh[emoji3]Wanafunzi wa Kibaha,Mzumbe,Iboru tulikuwa nao kibao hapo kwa Muddy na kumbuka kuna wengine tulikuwa tunashinda nao kwa mzee Kibiriti Mwisho wa Lami tunapiga practical za Chemistry.
Shule za serikali matatizo yake yanafanana 100%.
O level umemlz mwaka gan?R.I.P Bro...
Ila sikuwahi kupiga pindi kwa huyu jamaa, Physics nilikuwa nakata mapindi kwa Man Chipa....
Ilikuwaje jamaa akrd bongo aisee.Mohamed Ngaola.
His Educational background includes:-
-Primay education manzese dar es salaam.
-O level education azania secondary 1991-1994.
-Advanced kibaha seconday 1995-1997.
-Civil engenering university of dar es salaam 1998-2000.
-Programing USA International university 2000-2004.
He worked in different companies in USA.
-Quality assurance officer USA compaq presario 2001.
-Arima electronics USA 2002.
He was also employed as full time Teacher in diffrent schools at different time as follows.
-Msolwa secondary.
-Mkandawile secondary.
-Ilala islamic 2018.
-Golden secondary school.
-Mchikichini centre 1997 to date
Swali sahihi ni kwanini serikali wameshindwa kumjua