TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

Kwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa:

Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale Mchikichini, MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER.

Amefariki dunia jioni hii. Tumuombeeni duniani huyu mtabe aliyewafanya baadhi ya watu kuwa tulipo hivi sasa.

Innallillah wainnallilah raajuni

Uzi kuhusu maisha na waalimu wa Mchinikichini


View attachment 1624762
Innallillah wainnallilah raajuni
 
Enzi hizo hata usomeje physics /Bm kama hujasoma kwa mudi we mnyonge tu.

Fundi mwenye ku solve kila swali bila kufkilia.

Mwalimu alonifanya familia inishangae baada yakuskia ni B ya hesabu wakati waliamini ni kiraza.

Allahumma akhifrilahu warahamhu wathaabit bilkaul thabiti.

Umependa mbegu nzuri kaka mungu atakulipa
 
Inaonesha shule nyingi za day Dsm zilikua hazina Walimu wazuri wa Masomo ya Sayansi
Ukitofautisha na Shule za Boarding kama Minaki, Pugu, Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Moshi Tech
Huku kulikua na Walimu wa kutosha mpaka wanagawana Topics. Au Wanafunzi wanachagua wasome Topic ipi kwa Mwl yupi.
 
Updates
FB_IMG_1605424672165.jpg
 
Inaonesha shule nyingi za day Dsm zilikua hazina Walimu wazuri wa Masomo ya Sayansi
Ukitofautisha na Shule za Boarding kama Minaki, Pugu, Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Moshi Tech
Huku kulikua na Walimu wa kutosha mpaka wanagawana Topics. Au Wanafunzi wanachagua wasome Topic ipi kwa Mwl yupi.
Wanafunzi wa Kibaha,Mzumbe,Iboru tulikuwa nao kibao hapo kwa Muddy na kumbuka kuna wengine tulikuwa tunashinda nao kwa mzee Kibiriti Mwisho wa Lami tunapiga practical za Chemistry.

Shule za serikali matatizo yake yanafanana 100%.
 
Inaonesha shule nyingi za day Dsm zilikua hazina Walimu wazuri wa Masomo ya Sayansi
Ukitofautisha na Shule za Boarding kama Minaki, Pugu, Kibaha, Mzumbe, Ilboru, Moshi Tech
Huku kulikua na Walimu wa kutosha mpaka wanagawana Topics. Au Wanafunzi wanachagua wasome Topic ipi kwa Mwl yupi.
Minaki kulikuwa na mwalimu wa physics?? utakuwa umesoma private brooh,huyu moddy ndo alikuw Mkombozi wetu
 
Wanafunzi wa Kibaha,Mzumbe,Iboru tulikuwa nao kibao hapo kwa Muddy na kumbuka kuna wengine tulikuwa tunashinda nao kwa mzee Kibiriti Mwisho wa Lami tunapiga practical za Chemistry.

Shule za serikali matatizo yake yanafanana 100%.
Hahaa mzee Kibiriti wa Pugu secondary,Nilikua natoka Benjamin mkapa High School mpaka Pugu 2009 kwa huyo Mzee
 
Hahaa mzee Kibiriti wa Pugu secondary,Nilikua natoka Benjamin mkapa High School mpaka Pugu 2009 kwa huyo Mzee
Pugu secondary kupitia kiberiti tumewasaidia sana wanafunzi kufaulu practicals za chemistry.
Mtuheshimu humu jf
 
Wanafunzi wa Kibaha,Mzumbe,Iboru tulikuwa nao kibao hapo kwa Muddy na kumbuka kuna wengine tulikuwa tunashinda nao kwa mzee Kibiriti Mwisho wa Lami tunapiga practical za Chemistry.

Shule za serikali matatizo yake yanafanana 100%.
dah kitambo sana, mzee aliipatia sana thermochemistry, nakumbuka yale ma chemical alikuwa anayaweka kwenye chupa za plastic za maji ya Uhai , dahh[emoji3]
 
Mohamed Ngaola.

His Educational background includes:-

-Primay education manzese dar es salaam.

-O level education azania secondary 1991-1994.

-Advanced kibaha seconday 1995-1997.

-Civil engenering university of dar es salaam 1998-2000.

-Programing USA International university 2000-2004.

He worked in different companies in USA.

-Quality assurance officer USA compaq presario 2001.

-Arima electronics USA 2002.

He was also employed as full time Teacher in diffrent schools at different time as follows.

-Msolwa secondary.

-Mkandawile secondary.

-Ilala islamic 2018.

-Golden secondary school.

-Mchikichini centre 1997 to date
Ilikuwaje jamaa akrd bongo aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom