TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

TANZIA Mohammed “Muddy Physics” wa Mchikichini afariki dunia

Yn Muddy ni hatari sana, naweza sema nchi hii imepoteza expert muhimu sana, vijana wetu wa olevel na Alevel bado walikuwa wanamhitaji mno ila ndo kazi ya Mola.

Muddy alikuwa anafundisha Physics inaonekana kama kiswahili kwa urahisi wake ni hatari sana Muddy kwa kweli amefaulisha sn na ametengeneza wataalamu wengi mno, naimani Mwenyezi Mungu atamlipa kadri ya wema wake hapa duniani, makosa madogo madogo yapo lkn ndivyo binadamu tulivyo hatukosi makosa, namuombea kwa mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi commissioner, RIP.
RIP sikujua kwamba mpaka miaka hii alikuwa anafundisha mm nilisoma kwake miaka ya 1998 mpaka 2000 pamoja na kwa Babangida.Sijui Alisoma wapi yule ile physics
 
Kwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa:

Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale Mchikichini, MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER.

Amefariki dunia jioni hii. Tumuombeeni duniani huyu mtabe aliyewafanya baadhi ya watu kuwa tulipo hivi sasa.

Innallillah wainnallilah raajuni

Uzi kuhusu maisha na waalimu wa Mchinikichini


View attachment 1624762
Nimesikitika sana, alinitangulia miaka miwili Udsm lakini sifa zake zilijaa na kuenea chuo kizima. Wajinha na wapimbavu wanabaki, wenye uwezo wanaondoka dah! Let his soul rest in peace
 
Nimesikitika sana, alinitangulia miaka miwili Udsm lakini sifa zake zilijaa na kuenea chuo kizima. Wajinha na wapimbavu wanabaki, wenye uwezo wanaondoka dah! Let his soul rest in peace
Kumbe na wewe ulisoma zamani kidogo[emoji85]
 
Ilikuwaje jamaa akrd bongo aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
R. I. P [emoji120] huyu mwamba aliifanya physics to look so easy,Thank à lot nilijua kwa mara ya kwanza mchikichini 2000 form 1 kabla hajaenda USA, then nikasoma advance kwake baadhi ya topic bure kabisa
Asante sana umetutoa watoto wa kimasikini kimasomaso, we r proud of u.
Ur our Hero.
 
Kwa taarifa niliyoisikia muda si mrefu ni kuwa:

Yule aliyekuwa mtabe aliyekabidhiwa utabe wa physics pale Mchikichini, MUDY PHYSICS AU COMMISSIONER.

Amefariki dunia jioni hii. Tumuombeeni duniani huyu mtabe aliyewafanya baadhi ya watu kuwa tulipo hivi sasa.

Innallillah wainnallilah raajuni

Uzi kuhusu maisha na waalimu wa Mchinikichini


View attachment 1624762
Urithii jaman mtupee mrejeshooo
Nimekapendakagarii gaflaa siomengineyooo
 
Back
Top Bottom