Mohammed Said anasema Nyerere ndiye aliyemuondoa Sultani wa Unguja 1964

Mohammed Said anasema Nyerere ndiye aliyemuondoa Sultani wa Unguja 1964

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Katika video anaelezea kwamba jambo la kwanza lililotokea baada ya Mapinduzi printing press zilizokuwa zinatengeneza vitabu vya Kiislamu vilivunjwa.
Ipo katika YouTube
Hausemwi ila huu ndiyo ukweli mchungu nyumba ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mohammed Said akishazungumza nadhani tunajua tayari nani aliyemuondoa Sultan Jamshid.
View: https://youtu.be/FLGgUz7i8mA?si=ZgCUyXE_WipFcLAO
Nadhani Nyerere aliagizwa na Malkia kuipora Unguja kutoka kwa Waarabu.
Ilikuwaje walipobishana kuhusu matokeo ya Uchaguzi uliopita na Maalim Seif, Malkia ndiye aliyewaamua?
 
Katika video anaelezea kwamba jambo la kwanza lililotokea baada ya Mapinduzi printing press zilizokuwa zinatengeneza vitabu vya Kiislamu vilivunjwa.
Ipo katika YouTube
Hausemwi ila huu ndiyo ukweli mchungu nyumba ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mohammed Said akishazungumza nadhani tunajua tayari nani aliyemuondoa Sultan Jamshid.
Tafadhali tuwekee link.

Nani akubishie Prince?

Tuelezee ulivyokuwa unaishi Magomeni kabla ya Magogoni na Msasani kama unakumbuka.
 
Abraham Lincoln aliweka Consul Unguja
When it came time to appoint a consular to Zanzibar, Lincoln turned to a loyal Union man who had had some sympathy for slavery – William S. Speer.

Document signed, Washington, November 15, 1861, naming William S. Speer consul, and requested “His Majesty, the Sultan of Zanzibar, His governors and officers to permit the said William S. Speer fully and peaceably enjoy and exercise the said office…” The document is countersigned by William H. Seward as Secretary of State, and the Great Seal is still present. We obtained the documents from the Speer descendants and it has never before been offered for sale. Professionally conserved.
 
Katika video anaelezea kwamba jambo la kwanza lililotokea baada ya Mapinduzi printing press zilizokuwa zinatengeneza vitabu vya Kiislamu vilivunjwa.
Ipo katika YouTube
Hausemwi ila huu ndiyo ukweli mchungu nyumba ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mohammed Said akishazungumza nadhani tunajua tayari nani aliyemuondoa Sultan Jamshid.
View: https://youtu.be/FLGgUz7i8mA?si=ZgCUyXE_WipFcLAO

Huyo ni mtafiti wa historia za kweli na ndio Ukweli wenyewe.
Mambo yanazidi kuwekwa wazi hakuna tena kudanganyana.
 
Abraham Lincoln aliweka Consul Unguja
When it came time to appoint a consular to Zanzibar, Lincoln turned to a loyal Union man who had had some sympathy for slavery – William S. Speer.

Document signed, Washington, November 15, 1861, naming William S. Speer consul, and requested “His Majesty, the Sultan of Zanzibar, His governors and officers to permit the said William S. Speer fully and peaceably enjoy and exercise the said office…” The document is countersigned by William H. Seward as Secretary of State, and the Great Seal is still present. We obtained the documents from the Speer descendants and it has never before been offered for sale. Professionally conserved.
Hiyo 1861 Tanganyika ilikuwa chini ya himaya ya nani!
 
Nataka moja ,sitaki ndoa nusu!Moja inatosha,huoni mbili zinazaa changamoto za muungano!?
 
Back
Top Bottom