Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Katika video anaelezea kwamba jambo la kwanza lililotokea baada ya Mapinduzi printing press zilizokuwa zinatengeneza vitabu vya Kiislamu vilivunjwa.
Ipo katika YouTube
Hausemwi ila huu ndiyo ukweli mchungu nyumba ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mohammed Said akishazungumza nadhani tunajua tayari nani aliyemuondoa Sultan Jamshid.
View: https://youtu.be/FLGgUz7i8mA?si=ZgCUyXE_WipFcLAO
Nadhani Nyerere aliagizwa na Malkia kuipora Unguja kutoka kwa Waarabu.
Ilikuwaje walipobishana kuhusu matokeo ya Uchaguzi uliopita na Maalim Seif, Malkia ndiye aliyewaamua?
Ipo katika YouTube
Hausemwi ila huu ndiyo ukweli mchungu nyumba ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mohammed Said akishazungumza nadhani tunajua tayari nani aliyemuondoa Sultan Jamshid.
View: https://youtu.be/FLGgUz7i8mA?si=ZgCUyXE_WipFcLAO
Nadhani Nyerere aliagizwa na Malkia kuipora Unguja kutoka kwa Waarabu.
Ilikuwaje walipobishana kuhusu matokeo ya Uchaguzi uliopita na Maalim Seif, Malkia ndiye aliyewaamua?