Mohammed Said anasema Nyerere ndiye aliyemuondoa Sultani wa Unguja 1964

Mohammed Said anasema Nyerere ndiye aliyemuondoa Sultani wa Unguja 1964

Huu muungano unawaliz watu wanaoushobokea na una-siri nzito ndan yake hatujui t,na si rahisi kuvunjwa.kama mdhanivyo.God blessed
 
Katika video anaelezea kwamba jambo la kwanza lililotokea baada ya Mapinduzi printing press zilizokuwa zinatengeneza vitabu vya Kiislamu vilivunjwa.
Ipo katika YouTube
Hausemwi ila huu ndiyo ukweli mchungu nyumba ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mohammed Said akishazungumza nadhani tunajua tayari nani aliyemuondoa Sultan Jamshid.
View: https://youtu.be/FLGgUz7i8mA?si=ZgCUyXE_WipFcLAO
Nadhani Nyerere aliagizwa na Malkia kuipora Unguja kutoka kwa Waarabu.
Ilikuwaje walipobishana kuhusu matokeo ya Uchaguzi uliopita na Maalim Seif, Malkia ndiye aliyewaamua?

Mohamed Said udini umemla akili yake.
 
Kama ni kweli Nyerere alifanya jambo la maana sana.
Ndiyo maana itakuwa ni uhaini, kwa kiongozi yeyote au chama chochote cha siasa kutaka kuwatenganisha hawa. Hii ni Hongkong au Taiwani yya waChina, kama ilivyo Zanzibar ya waTanzania.

Kinacho hitajika, ni kufanya marekebisho kidogo tu kuepuka hizi kasoro za kuwaweka viongozi kama 'Chura Kiziwi' madarakani na kuleta taharuki kubwa kwa maslahi ya Tanganyika. Toka lini utategemea Hongkong liitawale China!
 
Hakuna aliye MWEMA isipokuwa Mungu wa Mbinguni pekee 😂
Angekuwa "MWEMA" kama unavyo dai wewe asinge ruhusu uingie jehenamu ambalo tayari linakusubiri wewe! Au unasemaje hapo?

Huyu mungu wa akilini mwenu mnamsingizia mambo mengi bila ya sababu zozote.
 
Si kila mtu achukue njia yake, kwani wazenji si waamue tu kujitenga hiyo ni rahisi kabisa wakitaka.
 
Mambo mazuri kama haya sasa, kumbe ndugu zetu wamakonde ndio walikufa kufukuza mkoloni Zanzibar na ikawa huru, basi ilitakiwa iwe Mkoa wa Bara.

Ila hii nchi nimegundua ina siri nyingi sana
 
Ni historia ya kuambiwa, inaweza ikawa kweli au si kweli, kikwete alisema ukiambiwa changanya na za kwako.

Pili, zanzibar national party sidhani kama kilikuwa ni chama cha wanzibar wote yaani waarabu wa Kitanzania na minority weusi watanzania, kwakuwa weusi walikuwa chini hawawezi kuwa na haki sawa pindi uchaguzi ukifanyika.

Kiini cha historia hii ni kutetea waislam au kujua jinsi mapinduzi yalivyo fanyika? Kama kuna mkono wa Tanu ni kwa nini usiulize viongozi wa Tanu ambao sio waislam pia kupata maoni yao? Ukiuliza viongozi wa kiislam tu utapata maoni kwa mtazamo huo, ingependeza angeenda mbali zaidi kutafuta maoni pia katika upande mwingine ili tuwe na maoni ya kitaifa, kwangu binafsi naona ni maoni ya kiislam.

Tatu, huyu mwandishi anampenda Nyerere? , mwandishi lazima uwe positive, sio kuegemea upande mmoja, siko hapa kulinda ukristo au Nyerere, lakini kwanini uhoji viongozi wa dini moja tu? Yaani Tanu yote 100% walikuwa ni Waislam peke yao wanaojua mapinduzi ya zanzibar?
 
Ni historia ya kuambiwa, inaweza ikawa kweli au si kweli, kikwete alisema ukiambiwa changanya na za kwako.

Pili, zanzibar national party sidhani kama kilikuwa ni chama cha wanzibar wote yaani waarabu wa Kitanzania na minority weusi watanzania, kwakuwa weusi walikuwa chini hawawezi kuwa na haki sawa pindi uchaguzi ukifanyika.

Pumba tupu
 
Hizi ni Propaganda tu na Uzushi wa Mohamed Said Na Waislam wengine kama kawaida yao, Imagine hawakuwepo wakati huo lakini wanahadithia kama walikuwepo vile

Wenye akili hawawezi kudanganyika
 
Ni historia ya kuambiwa, inaweza ikawa kweli au si kweli, kikwete alisema ukiambiwa changanya na za kwako.

Pili, zanzibar national party sidhani kama kilikuwa ni chama cha wanzibar wote yaani waarabu wa Kitanzania na minority weusi watanzania, kwakuwa weusi walikuwa chini hawawezi kuwa na haki sawa pindi uchaguzi ukifanyika.

Kiini cha historia hii ni kutetea waislam au kujua jinsi mapinduzi yalivyo fanyika? Kama kuna mkono wa Tanu ni kwa nini usiulize viongozi wa Tanu ambao sio waislam pia kupata maoni yao? Ukiuliza viongozi wa kiislam tu utapata maoni kwa mtazamo huo, ingependeza angeenda mbali zaidi kutafuta maoni pia katika upande mwingine ili tuwe na maoni ya kitaifa, kwangu binafsi naona ni maoni ya kiislam.

Tatu, huyu mwandishi anampenda Nyerere? , mwandishi lazima uwe positive, sio kuegemea upande mmoja, siko hapa kulinda ukristo au Nyerere, lakini kwanini uhoji viongozi wa dini moja tu? Yaani Tanu yote 100% walikuwa ni Waislam peke yao wanaojua mapinduzi ya zanzibar?
hizi kamba unagoogle tu kila kitu kipo wazi siku hizi, hao viongozi ukiwagoogle wote picha zao zipo online, znp na ZPPP kulikua na weusi kibao, in short mpaka leo pemba CCM haipendwi na haka huko Unguja ni sehemu tu za mamluki ambao wamehamia znz chini ya miaka 100 ndio wana support, ukiangalia tu chaguzi za karibuni unaelewa miaka ya 60 nini kiliendelea. nani leo wakishinda yanatoka majeshi hadi burundi kuwaua?

baadhi ya picha za serikali ya ZNZ kabla ya mapinduzi
Moors part II.jpg

video ya viongozi

View: https://youtu.be/M3j_fkamytU

video ya speech ya kwanza UN

View: https://www.youtube.com/watch?v=Wa8w3Cmi_kE

kifupi mkuu hadi sultan wa zanzibar miaka kama 60 kabla ya mapinduzi walikua weusi angalia picha judge mwenyewe
sayyid-ali-bin-hamud-al-busaid-june-7-1884-december-20-1918-arabic-was-the-eighth-sultan-of-za...jpg

272152722_593498215333223_1112637026775705445_n.jpg

Sultan Khalifa hapo yupo London
hao ndo waarabu mnaambiwa madhalimu walikuwa wakiwatawala weusi ZNZ, historia yenu wenyewe inapotoshwa na ushahidi kibao upo online, ila bado mnaendelea tu kudanganyika.
 
Abraham Lincoln aliweka Consul Unguja
When it came time to appoint a consular to Zanzibar, Lincoln turned to a loyal Union man who had had some sympathy for slavery – William S. Speer.

Document signed, Washington, November 15, 1861, naming William S. Speer consul, and requested “His Majesty, the Sultan of Zanzibar, His governors and officers to permit the said William S. Speer fully and peaceably enjoy and exercise the said office…” The document is countersigned by William H. Seward as Secretary of State, and the Great Seal is still present. We obtained the documents from the Speer descendants and it has never before been offered for sale. Professionally conserved.
Wana historia tuelezeeni hapo, Zanzibar ilikua ni wapi mpaka wapi?

Zanzibar ina historia kubwa sana ambayo tunafichwa, naamini hata hii inayoitwa Tanganyika na Tanzania bara leo hii, yote ilikua ni himaya ya Zanzibar.

Nasema hivyo kwa sababu, mimi kwetu orijino ni kisiju na Bagamoyo, mabibi na mababu waliowana wakaishi kote, kisiju, bagamoyo na Dar. Usafiri wao siku hizo ulikua wa jahazi na mashua. Kutoka Bagamoyo kwenda Kisiju. Mama wa bibi yangu anasema, alikuja Dar, akakata shamba kisutu, lilikua chaka tupu, yeye na mumewe, kutokea kisiju, kupitia Unguja, bagamoyo, Dar. Yote kwa mashua tu.

Inaonesha Unguja ilikua hub kubwa sana enzi hizo. Maana mashua ya kuytoka kisiju inaenda Unguja kwanza, japo upoande nyingine ya kwenda bagamoyo, Bagamoyo mpoaka msasani, au mji mwema, kwa mujibu wa wazee.

Bibi yangu anasema kazi zilikua za mwanamke, ba)mumewe akamuacha Kisutu kwenye banda la makuti tu, yeye akaondoka tena kurudi bagamoyo. Kuonana kwa msimu.
 
Katika video anaelezea kwamba jambo la kwanza lililotokea baada ya Mapinduzi printing press zilizokuwa zinatengeneza vitabu vya Kiislamu vilivunjwa.
Ipo katika YouTube
Hausemwi ila huu ndiyo ukweli mchungu nyumba ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mohammed Said akishazungumza nadhani tunajua tayari nani aliyemuondoa Sultan Jamshid.
View: https://youtu.be/FLGgUz7i8mA?si=ZgCUyXE_WipFcLAO
Nadhani Nyerere aliagizwa na Malkia kuipora Unguja kutoka kwa Waarabu.
Ilikuwaje walipobishana kuhusu matokeo ya Uchaguzi uliopita na Maalim Seif, Malkia ndiye aliyewaamua?

Haya sio maandiko ya mleta mada mara baada ya kuposti
Naona ujumbe wa mada ya kwanza umechakachuliwa
 
Back
Top Bottom