Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Nelson...
Hujafika makamo bado una safari ndefu sana:

WAZANZIBARI...
Najaribu kuweka picha za Wazanzibari niliopata kuwafamu katika maisha yangu wengine kwa mbali na wengine kwa karibu sana.

Kwa ujumla naweza kusema kuwa namshukuru Allah kwa kunikutanisha na watu hawa.

Kutoka kwao nimejifunza mengi sana katika historia ya Zanzibar:


Ahmed Rajab na Mwandishi Ofisi za Africa Analysis London, 1991​

Mohamed Mlamali Adam Mhariri wa Africa Events London

Aboud Jumbe na Mwandishi 1992

Kushoto Sheikh Ali Muhsin na Mwandishi, Muscat 1999

Hassan Nassoro Moyo na Mwandishi, Zanzibar 2012

Salim Himid na Mwandishi, Paris 2011
Nelson...
Nataka tufahamiane.

Hawa wote nimeandika habari zao hapa JF fanya ''search'' utajifunza mengi.

Hawa ni baadhi tu:



 
Kwahiyo babu zetu walikua hawanyanyasiki na waarabu na vizazi vyao vya machotara wsliowafanya wabantu kua raia wa tabaka la chini???Ni tamaa za kisiasa tu sababu sultan na hizbu walikua wema kwa wabantu kaka?????Tujuze kidogo mema ya sultani kaka???
Hivi sasa, wewe ni raia wa tabaka lipi?
 
Wala siteseki, ni wajibu na uzalendo, muungano wetu adhimu ni tunu za taifa, tutaulinda kwa gharama yoyote dhidi ya mahasidi wa muungano!.
P
Upo sahii kaka ni wajibu wetu kama vijana na viongozi tujao wa taifa hili kulinda na kuenzi mapinduzi matukufu ya zanzbar na kuulinda muungano wetu dhidi ya mahasidi wa muungano
 
Tabaka la kwanza Faiza Nafaidika na matunda ya mapinduzi mdogo wangu
Hongera sana. Kumbe kuna matabaka miaka zaidi ya 50 baada ya mapinduzi, nilikua sifahamu. Ahsante kwa kutujuza

AlhamduliLlah vizazi vya wenye asili za KiOman ndivyo vinavyotawala sasa Zanzibar na Tanganyika. Ni vyema kuwa hawajakubagua.

Watawala ni wa daraja lipi?
 
Wala siteseki, ni wajibu na uzalendo, muungano wetu adhimu ni tunu za taifa, tutaulinda kwa gharama yoyote dhidi ya mahasidi wa muungano!.
P
Nani anaelitambuwa hilo katika serikali zote mbili?

Naona kama unajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe.
 
Kuna kitu kwenye siasa kinaitwa mubashir fayuz kwa kiarabu cha wakurdi.Ukielewa hicho utaelewa ulichoandika kunijibu mdogo wangu.
 
Licha ya visiwani, hivi Wabantu walifika lini pwani ya bahari ya hindi?

Ukishapata jibu ya hilo pia ujibu, walikuta kuna wenyeji? Wepi?
 
Licha ya visiwani, hivi Wabantu walifika lini pwani ya bahari ya hindi?

Ukishapata jibu ya hilo pia ujibu, walikuta kuna wenyeji? Wepi?
Mdogo wangu nina wasiwasi na uelewa wako wa mambo na ndio maana kwenye mada hii ya mzee wangu na jirani yangu Said mohamed waga najadiliana nae zaidi kuliko mtu mwingine yeyote.Lakini sikupingi hoja zako mdogo wangu,upo sahii kabisa kwa umri wako na uwelewa wako wa historia ya wabantu.
 
Al Anisa Maalim Mohamed Said , wewe ni mmoja wa watu muhimu sana this forum iliyobahatika kuwa nao, natamani kila kisa cha mtu yeyote ulichonacho, kianzishie thread stand alone inayojitegemea chini ya Sub Heading ya "Simulizi za Mohamed Said"
Ili kuyahifadhi masimulizi hayo ambayo yatafuatiwa na TV series zenye jina hilo hilo kwenye TV zetu, lengo ni kuuvuna na kuuhifadhi utajiri mkubwa wa historia ulio nao ndani ya kichwa chako na kuuhifadhi kwa ajili ya vizazi vijavyo. Kwa vile wewe umejaaliwa uwezo wa kuandika, then serialize hizo makala zako.
P
 
Kaka mimi kama mjasiriamali naona hii kama fursa kupitia kwa jirani yangu na rafiki yangu na kakangu mzee saidi mohamed.Pamoja na tofauti zetu za kiitikadi,kisiasa,kielimu,kiimani na kimtazamo nitamtafuta personal nimshauri kuhusu hili.Upo sahii kaka nitajitahidi kumfikishia ujumbe personal.
 
Huyu Mzee Mohamed Said, ni hazina ambayo inatakiwa ivunwe ihifadhiwe!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…