Mohammed Said na Mapinduzi ya Zanzibar

Kwani mrengo wako haujulikani ?? Nimekuuliza taja nani Sultani Jemshid alimchukulia mali yake au kumuuwa kwa kujiunga na ASP au kunajisiwa familia yake au kununua meli ya mtumba au kujijengea majumba ya kifahari
Jemshid ni mlowezi tu na alizaliwa na walowezi!!!!!Kuhusu watu waliodhulumiwa na walowezi wabaguzi wa zanzbar unazungumzia wakati wa jemshid au hao maslutani walowezi wa kabla yake?????Unataka tuanzie wapi kufahamishana kaka
 
Jemshid ni mlowezi tu na alizaliwa na walowezi!!!!!Kuhusu watu waliodhulumiwa na walowezi wabaguzi wa zanzbar unazungumzia wakati wa jemshid au hao maslutani walowezi wa kabla yake?????Unataka tuanzie wapi kufahamishana kaka

Bado unaruka ruka tu hujajibu swali, Kiswahili kinaanza kukupiga chenga

Nimekuuliza taja nani Sultani Jemshid alimchukulia mali yake au kumuuwa kwa kujiunga na ASP au kunajisiwa familia yake au kununua meli ya mtumba au kujijengea majumba ya kifahari
 
Kwa hivyo dini yako si ukristo ??
Hiyo sio dini yangu ni dini ya wageni kutoka nje ya bara hili!!!!Mimi dini yangu ni ubantu na tuna mila na taratibu zetu msomi mwenzangu!!!!Ukristo na ubantu wapi na wapi kaka!!!
 
Hiyo sio dini yangu ni dini ya wageni kutoka nje ya bara hili!!!!Mimi dini yangu ni ubantu na tuna mila na taratibu zetu msomi mwenzangu!!!!Ukristo na ubantu wapi na wapi kaka!!!

Kwa hivyo mungu wako ni Marehemu Wanyonyi ???
 
Msomi tunajadiliana au tunagombana?????Ebu nitajie kwanza huyo jemshid kakaaa madarakani mda gani kabla ya 1964 msomi mwenzangu??????Nisaidie kwa hilo afu tuendeleee!!!Tuache ushabiki wa kisiasa kaka
 
Msomi tunajadiliana au tunagombana?????Ebu nitajie kwanza huyo jemshid kakaaa madarakani mda gani kabla ya 1964 msomi mwenzangu??????Nisaidie kwa hilo afu tuendeleee!!!Tuache ushabiki wa kisiasa kaka



Jemshid akae madarakani kwani yeye alikuwa na madaraka ?? hata unachokiongea hukijui
 
Kwa hivyo mungu wako ni Marehemu Wanyonyi ???
Au kaka gavana wewe sio msomi ni shabiki wa kisiasa na kidini huwezi majadiliano huru ndugu yangu?????Kuna sehemu nimemtaja wanyonyi?????Au wewe unajua wabantu tunapatikana wapi na wapi kaka????
 
Au kaka gavana wewe sio msomi ni shabiki wa kisiasa na kidini huwezi majadiliano huru ndugu yangu?????Kuna sehemu nimemtaja wanyonyi?????Au wewe unajua wabantu tunapatikana wapi na wapi kaka????

Mimi nimekuuliza dini yako ukaniambia ni dini ya waafrika ndio nikakuuliza jee mungu wako ni Wanyonyi maana huyo ndiye mwafrika aliyejitangaza kuwa ni mungu au huitaki dini yake ??
 
Jemshid akae madarakani kwani yeye alikuwa na madaraka ?? hata unachokiongea hukijui
Umeniuliza nikutajie dhuluma alizofanya na mimi nikakuomba nitajie alikaa kwenye throne kwa mda gani kabla hajaenda England kaka!!!!Ni hilo tu nimekuuliza????Au sitakiwi kukuuliza ndugu yangu????
 
Umeniuliza nikutajie dhuluma alizofanya na mimi nikakuomba nitajie alikaa kwenye throne kwa mda gani kabla hajaenda England kaka!!!!Ni hilo tu nimekuuliza????Au sitakiwi kukuuliza ndugu yangu????

Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ??
 
Mimi nimekuuliza dini yako ukaniambia ni dini ya waafrika ndio nikakuuliza jee mungu wako ni Wanyonyi maana huyo ndiye mwafrika aliyejitangaza kuwa ni mungu au huitaki dini yake ??
Mimi mbantu wa ufipani na hilo neno waafrika ni kiyunani sio kibantu!!!Sisi wafipa ni wabantu na mungu wetu haitwi wanyonyi na dini yetu sio hiyo kaka
 
Kumbe hata huelewi chochote kuhusu Zanzibar zaidi ya propaganda za CCM ulizonyweshwa
Kaka uliniuliza swali kuhusu Jamshid na mimi nikakuuliza!!!Kwanini tusijibiane hayo maswali kaka tuache mambo mengine pembeni au umesahau???
 
Mimi mbantu wa ufipani na hilo neno waafrika ni kiyunani sio kibantu!!!Sisi wafipa ni wabantu na mungu wetu haitwi wanyonyi na dini yetu sio hiyo kaka

Sasa niambie wale waliompindua Nyerere unawaunga mkono au unawaunga mkono wale wazungu waliomweka kibaraka wao Nyerere madarakani ??
 
Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ??
Ndio nijibu jamshid alikaa mda gani afu nitakujibu pia kaka hakuna shida
 
Ndio nijibu jamshid alikaa mda gani afu nitakujibu pia kaka hakuna shida
Mbona unakimbia swali kijanja au unataka thread yako iwe na post nyingi

Nimekuambia hata kama alikaa siku moja nitajie alimuuwa nani au kumdhulumu nani mali yake , au nani alimtia kilema wakati wa uchaguzi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…