Moise Katumbi hakamatiki huko Congo DR .Tizama mafuriko yake Kisangani

Moise Katumbi hakamatiki huko Congo DR .Tizama mafuriko yake Kisangani

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Moise KATUMBI anachukua nchi mapema sana.

Sera zake za kurejesha amani na kujenga miundombinu ya maendeleo ndio silaha yake kuu.

Pia huyu jamaa anatumia Kiswahili katika kampeni zake, hii inafanya aweze kusikilizwa na wacongo katika majimbo yote.

Huko KISANGANI amefanya mafuriko haijawahi tokea.

Kumbuka kuwa KISANGANI sio kwao na kwajiografia ya Congo huyu tunasema alikua ugenini au ughaibuni lakini anakubalika sana.

Rais Kisekedi anatumia muda mwingi sana kumzungumzia Katumbi, hii inaonesha kuwa anamuogopa sana.

Congo wanatakiwa kumpa nchi huyu mwamba.

Jamaa ana kitu na ATAIVUSHA Congo

 
Tume za afrika hazioni aibu kutangaza aliyeshindwa kuwa mshindi haya mafuliko hata martin fayulu alijaza tu
 
Banna Lunda bana Congolee le shampioo chapoo Moizee Katumbi bilengeee bilengee ...Mabanga mabangaa
 
Moise KATUMBI anachukua nchi mapema sana.

Sera zake za kurejesha amani na kujenga miundombinu ya maendeleo ndio silaha yake kuu.

Pia huyu jamaa anatumia Kiswahili katika kampeni zake, hii inafanya aweze kusikilizwa na wacongo katika majimbo yote.

Huko KISANGANI amefanya mafuriko haijawahi tokea.

Kumbuka kuwa KISANGANI sio kwao na kwajiografia ya Congo huyu tunasema alikua ugenini au ughaibuni lakini anakubalika sana.

Rais Kisekedi anatumia muda mwingi sana kumzungumzia Katumbi, hii inaonesha kuwa anamuogopa sana.

Congo wanatakiwa kumpa nchi huyu mwamba.

Jamaa ana kitu na ATAIVUSHA Congo

View attachment 2820364
Katumbi anapaswa anapaswa kujifunza kwa yaliyomtokea mamvi na mafuriko yake
 
Back
Top Bottom