Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kwa sababu mwanamichezo basi awe rais ?Batoto bacongo bamchague Moise Katumbi ni mwana michezo mwenzetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu mwanamichezo basi awe rais ?Batoto bacongo bamchague Moise Katumbi ni mwana michezo mwenzetu
Anajua sana, kwamba hashindi huo uchaguziKatumbi anapaswa anapaswa kujifunza kwa yaliyomtokea mamvi na mafuriko yake
Si mtu yoyote anakua Rais wa Nchi ,labda rais wa kikundiUnajua kuna watu wanadhani urais ni wao tu wameandikiwa kumbe ni mtu yeyote anaweza kuwa presidaa
Kwanini asishinde kama uchaguzi ni huru na wa haki? Au tukuelewe kwakuwa wewe ni familia ya Kabila wanaojiona ni Godfather wa DRCHashindi Mkuu ,nielewe
😁🤣😄😀😃🤣🤣😄😄Nyuki HakumbatiwiUchawa hadi nchi za watu
Uhuru ktk chaguz za kiongoz wa taasis kuna ukomoKwanini asishinde kama uchaguzi ni huru na wa haki? Au tukuelewe kwakuwa wewe ni familia ya Kabila wanaojiona ni Godfather wa DRC
Hahahahaha,wakati ule kanisa liko na Fayulu nani alishinda?Inategemea Kanisa Katoliki linamtaka nani kwa sababu hii taasisi ndiyo mwamuzi wa siasa za Congo
Kura zake hazitotoshaKwanini asishinde kama uchaguzi ni huru na wa haki? Au tukuelewe kwakuwa wewe ni familia ya Kabila wanaojiona ni Godfather wa DRC
Fayulu hakuwa na KanisaHahahahaha,wakati ule kanisa liko na Fayulu nani alishinda?
HahahahahaFayulu hakuwa na Kanisa
Kati yale wale wagombeaFayulu hakuwa na Kanisa
Kama ameweza kuiongoza vizuri TP Mazembe basi hata u-Rais anawezaKwa sababu mwanamichezo basi awe rais ?
Una miaka mingapi ? SamahaniKama ameweza kuiongoza vizuri TP Mazembe basi hata u-Rais anaweza
Haikuhusu mkuuUna miaka mingapi ? Samahani
Yeye ni CCM hivyo anaelewa,usimbishie bwanaTukuelewe
Tukuelewee we nan kwani...
Basi, niseme tu , uko under age, ndio maana unaona mtu akiongoza timu ya mpira anaeza ongoza nchi ...Ccm inawaharibu sanaHaikuhusu mkuu
Wanajua nasema nn wamekaa kimyaaYeye ni CCM hivyo anaelewa,usimbishie bwana