Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mwenzio anataka moise awe rais wa drc kisa kaongoza tp mazembe , vijana wa ccm ni bogus kabisa nyie ,huu mjadala kaeni chonjoYeye ni CCM hivyo anaelewa,usimbishie bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio anataka moise awe rais wa drc kisa kaongoza tp mazembe , vijana wa ccm ni bogus kabisa nyie ,huu mjadala kaeni chonjoYeye ni CCM hivyo anaelewa,usimbishie bwana
Papaa eza wapi?Banna Lunda bana Congolee le shampioo chapoo Moizee Katumbi bilengeee bilengee ...Mabanga mabangaa
Kama ambavyo Boby Wine hatashinda ila ni kwa wizi tu na mabavu. East Africa tukipata viongozi hawaHatoshinda Urais
Mkuu utakuwa na minyoo, kwani timu siyo taasisi? Nyerere aliongoza nini kabla mpk akaongoza nchi?Basi, niseme tu , uko under age, ndio maana unaona mtu akiongoza timu ya mpira anaeza ongoza nchi ...Ccm inawaharibu sana
Kwahiyo siku Eng Hersi akiomba kuongoza Tanzania mtampatia kisa ameongoza timu ya yanga ?
Rudi Shule kijana,huu mjadala mzito kwako
Nyau wewee ndawooKama ambavyo Boby Wine hatashinda ila ni kwa wizi tu na mabavu. East Africa tukipata viongozi hawa
TZ - Tundu Lissu
KE - PLO Lumumba
UG - Bobby Wine
Rw - Umuhoza
BR - Other than CNDD-FDD
Ukanda wetu utaendelea. Maghayo wewe ni mbusiii
We ndio una minyoo ,hilo mnaeza Tanzania, mnako buruzwa na ccmMkuu utakuwa na minyoo, kwani timu siyo taasisi? Nyerere aliongoza nini kabla mpk akaongoza nchi?
Hata wewe unaburuzwa na CCM hakuna namnaWe ndio una minyoo ,hilo mnaeza Tanzania, mnako buruzwa na ccm
HahahahahahaHata wewe unaburuzwa na CCM hakuna namna
MbusiiNyau wewee ndawoo
Usijefanya UMUHOZA akawa AMEOZA, maana WATU wataozesha yeye kabla ya wakati !Kama ambavyo Boby Wine hatashinda ila ni kwa wizi tu na mabavu. East Africa tukipata viongozi hawa
TZ - Tundu Lissu
KE - PLO Lumumba
UG - Bobby Wine
Rw - Umuhoza
BR - Other than CNDD-FDD
Ukanda wetu utaendelea. Maghayo wewe ni mbusiii
Wadau wameshapanga matokeo,wanaamin akishinda katumbi uchaguz ni huru lkn jamaa akitetea kiti chake kaibaUchaguzi huru bado ni changamoto barani Afrika, kuna nyakati hata mataifa ya kibepari pia yanatia mikono ili kulinda maslah yao.
Congo DRC ni ndovu kama aliyeponzwa na meno yake kwa hiyo ushindi kwa Katumbi utategemea na mrengo wake wa kisiasa.
Nyuma ya pazia kuna mataifa mengi ya magharibi na mashariki yananufaika kwa siri na utajiri wa rasilimali wa Congo huku wananchi wakipewa silaha wamalizane wenyewe kwa wenyewe.
Si mtu yoyote anakua Rais wa Nchi ,labda rais wa kikundi
Hahahahaha,Tz tuKwa nchi shithole Kama Congo DRC mtu yeyote anaweza kuwa Rais.
KO aliyopigwa Lowasa haizid aliyopigwa Braza FayuluHata Lowasa alikuwa na mafuriko hapa lakini mwisho wote tuliona
Muda wake bado
Tundu Lissu hafai kwa raisi, ana mihemuko mingi mno, + ana Umuch know mwingi mnoooooKama ambavyo Boby Wine hatashinda ila ni kwa wizi tu na mabavu. East Africa tukipata viongozi hawa
TZ - Tundu Lissu
KE - PLO Lumumba
UG - Bobby Wine
Rw - Umuhoza
BR - Other than CNDD-FDD
Ukanda wetu utaendelea. Maghayo wewe ni mbusiii