Moja kati vitu vilivyonishinda

Moja kati vitu vilivyonishinda

Kutongoza ni mambo ya zamani hayo.. Wewe ukiona mschana na unataka kumgegeda just mfate tu na umwambia kua ungependa mugegedane.. Wanawake wa siku hizi hawakatai ofa ya mgegedo
 
Hivi bado mnatongoza? Hivi wadada wa miaka hii wanahitaji kutongozwa? Mi nshasahau!!
 
Hivi bado mnatongoza? Hivi wadada wa miaka hii wanahitaji kutongozwa? Mi nshasahau!!

Wee Eli79 acha kumdanganya mwenzio, we kutwa humu unatongoza au unataka utamu upate peke yako?
 
Last edited by a moderator:
Umekariri kutongoza ni kumwambia mwanamke nakupenda
kutongoza hata kumtazama tu na kutabasam inatosha
hata kumsalimia tu na kumuuliza kitu nayo ni kutongoza....

Wenzio hawasemi tena nakupenda....ni kusalimia tu na kuongea chochote kilichopo hapo
hata mpira au diamond na wema au watangaza nia wa ccm....
halafu taratibu unajisogeza

enheee huyo ndo theboss
 
Last edited by a moderator:
duh! pole sana ila fata ushauri wa the boss hapo juu n everything gonna b allright
 
Teh teh teh, unaanzia hapohapo mwanzo
Tutakuwa tukiongelea Isidongo...au Ali Kiba vs Platinumz(nimegusa moyo)...au Eli79 vs atoto..then nitajiongeza taratibu hadi nijimegee..
 
Last edited by a moderator:
Tutakuwa tukiongelea Isidongo...au Ali Kiba vs Platinumz(nimegusa moyo)...au Eli79 vs atoto..then nitajiongeza taratibu hadi nijimegee..

Hahahaaa nimepapenda hapo kwenye mabano, aisee ukitaka unipate we msifie tu Kiba mbona hilo convo utalipenda, ila ukijiroga ukaharibu sahau utanivuruga, ila wewe lazima utupie na tongozo aisee hvhv hapana.
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha mbalii saana wakati nipo fro2 nlikuwa hata kuwaangalia usoni wadada siwezi kabisa,,ila kwa sasa wao ndo wananiogopa mimi,,,kweli siku hazigandi,,,subiri kidogo utaweza kuwika kkama kaka zako
 
Kijana weka aibu na woga pembeni. Kwa level yako, muite mdada tena kwa kujiamini(kama mbwai n mbwai), msalimie, muangalie alivyo vaa harafu tatufa cha kumsifia mf "sketi yako nzuri imekupendeza sana" kama unamjua, mwambie siku hizi mambo yako mazuri nini, maana umenenepa. Hapo mtapiga blah blah blah mkatishe huku unamuangalia usoni mwambie "harafu mwenzako nakupenda kweli yani huwezi amini"..... hapo atajistua na mengineyo lakin wewe jazia nyama neno hilo hilo. Popote utakapo muona kama inafaa mfuate au muite akija mueleze, usiogope hata kuua.
 
Ni kile kitetendo cha kutokea mwanamke na kumwambia nakupenda, nimejaribu zaidi ya mwaka lakini nikubali tu kutongoza imenishinda aisee. Jumlishia pesa yenyewe ya kuunga unga! Naweza kumpenda msichana mpaka nalia lakini kumwambia nimeshindwa daa pole yangu kwa kweli.

Oya usiwe na pressure, utapata demu. Kuna watu wengine tunapitia the hard way hadi kujifunza kuwaingia hawa mademu, binafsi confidence ya kumweka sawa demu nimepata sekondari kabla ya hapo ungeniona ungenicheka. Halafu kuna mijitu mingine hapa itajifanya inajuwa kuwavua ch**p* hawa wanawake lakini ukicheki list yake ya wanawake aliyopitia hata Asha ngedere ana afadhali. JIAMINI.
 
Back
Top Bottom