Moja kati vitu vilivyonishinda

Moja kati vitu vilivyonishinda

Kwa hivyo mbona tunaongea sana, kama kubadilshana mawazo kufunzishana Biblia na mengi tuu sema shida nimpende mmoja ile kumwanza ndio imekua ngumu kwangu
Sita sahau siku nilipompenda mdada mmoja mpaka nikalia chozi lakini kumwambia au kumwonyesha nilishindwa, nikajisemea si vyote viwezekanavyo kwa kweli.


We huelewi kabisa
kumuanza nini ili iweje?
kama unapiga nae story za kawaida inatosha
usimuambie chochote muache aje close
mkishakuwa karibu vitendo tu viongee
 
hahahaaa mweee Viol umenifurahisha
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa mweee Viol umenifurahisha
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahaha!!!,,,,, mbav zangu mim yaelekea wewe ni mrangi sio? Jitahd hata kwa kizung ila kwa kswahl huaga zuri sana, hahahahahahahaha,,,,,,,, leo cna mbav yani unajtambua alaf unajpa pole mwenyew badala usubr tukupe pole duh! Ufanye mazoez kuanzia leo
Ni kile kitendo cha kutokea mwanamke na kumwambia nakupenda, nimejaribu zaidi ya mwaka lakini nikubali tu kutongoza imenishinda aisee. Jumlishia pesa yenyewe ya kuunga unga! Naweza kumpenda msichana mpaka nalia lakini kumwambia nimeshindwa daa pole yangu kwa kweli.
 
Ni kile kitendo cha kutokea mwanamke na kumwambia nakupenda, nimejaribu zaidi ya mwaka lakini nikubali tu kutongoza imenishinda aisee. Jumlishia pesa yenyewe ya kuunga unga! Naweza kumpenda msichana mpaka nalia lakini kumwambia nimeshindwa daa pole yangu kwa kweli.
Umeshaweza kutongoza?
 
Back
Top Bottom