Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Moja ya hotuba zake bora ni nadra sana kuzisika kwasasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndiye mtu wa maana
Baada ya JK atakuja rais mchekeshaji lakini mchapazi..huyu atatawala kwa muda mfupi na baada ya hapo atakuja rais mwanamke... Halafu......📌🔨
Siyo makasiriko, ni fact tuMakasiriko?😀😀
VYETI FAKE MSHUGHULIKIENI HUYU JAMAA ANAWAKUMBUSHA MACHUNGUWewe ni mpumbavu pamoja na huyo chuma wako
Aendelee kupumzika kwa amani Daktari
Hakuna watu wenye hasira na Magu kama vyeti feki🤣🤣VYETI FAKE MSHUGHULIKIENI HUYU JAMAA ANAWAKUMBUSHA MACHUNGU
Nimesikia hapo kama sauti za watu wakishangilia ukatili huu!
Hii ni moja ya kauli Kuntu sana. watoto wetu wamekuwa vilaza sana siku hizi na vijana wetu siku hizi pia wamekuwa makomandoo wa kulalamika kwamba hakuna ajira ili hali wengine tulikuwa tunaponda kokoto na kulima na bado tukatoka na div point 7
Nani aliongea hivyo mshana JrBaada ya JK atakuja rais mchekeshaji lakini mchapazi..huyu atatawala kwa muda mfupi na baada ya hapo atakuja rais mwanamke... Halafu......📌🔨
Je ndugu wa Saa8 wanshughlikei nani? Utakuwa na wewe ndiyo mlikuwa mnaitwa wanyonge then mnabubujikwa na machozi ya furahaVYETI FAKE MSHUGHULIKIENI HUYU JAMAA ANAWAKUMBUSHA MACHUNGU
Hao waliomuua ben saanane kwa kweli walaaniwe.mauaji si kitu chema. Sasa nawaachia huyu anayewakumbusha vyeti fake msimwache. Mumshughulikie vyemaJe ndugu wa Saa8 wanshughlikei nani? Utakuwa na wewe ndiyo mlikuwa mnaitwa wanyonge then mnabubujikwa na machozi ya furaha
Cc Lucas Mwashambwa
Retired 😂😂VYETI FAKE MSHUGHULIKIENI HUYU JAMAA ANAWAKUMBUSHA MACHUNGU
Mambo ya Yahaya. Naikimpendeza hyo ya mwisho unabii wake itimieBaada ya JK atakuja rais mchekeshaji lakini mchapazi..huyu atatawala kwa muda mfupi na baada ya hapo atakuja rais mwanamke... Halafu......📌🔨
Atakua mtu mikoa ya pwani huyo, jamaa wa mwambao wa bahari huaga wana aleji sana na elimu. We waambie habari za kumcheza ngoma mtoto wa kike, kufundwa mwali, hayo ndio wanayapenda; halafu baadae wanakuja kumlaumu Nyerere kwamba alikua na mfumo KristoMakasiriko?😀😀
Watakuja wenzangu wa vyeti fake. Ndo tunamchukia sana Magufuli.
Duuh halafuu??Baada ya JK atakuja rais mchekeshaji lakini mchapazi..huyu atatawala kwa muda mfupi na baada ya hapo atakuja rais mwanamke... Halafu......📌🔨