Kwani ndugu wa Mzee Ali kibao wanamshughulikia nani? huyo ni rais Bora wa vizazi vyote ktk taifa hili...vyeti feki mlitafuna sana nchi hii chuma akawanyoosha!Je ndugu wa Saa8 wanshughlikei nani? Utakuwa na wewe ndiyo mlikuwa mnaitwa wanyonge then mnabubujikwa na machozi ya furaha
Cc Lucas Mwashambwa