Moja ya hotuba nadra sana kuisikia nyakati hizi

Moja ya hotuba nadra sana kuisikia nyakati hizi

JPM rip alisema awezi kupedwa na wote ata ndani ya CCM wapo awanipendi kwaiyo ww ndio ktk wale msiompenda lkn JPM ni Shujaa wa Africa utoweza kufifisha kalama yake.
Shujaa kwa kumbangua Ben Saanane risasi ya kichwa kwa kumwambia kuwa ana degree fake? Degree fake siyo cheti fake?
 
Aendelee kupumzika kwa amani Daktari

Sometimes ili watu waelewe, inatakiwa kutumia aina hii ya Lugha

Hata kwenye familia zetu, uki-mess up familia lazima ikushinde
Hilo li nyau lipate shida sana huko lilipo, ikibidi life pia hata huko motoni lilipo
 
Mnyonge na maskini ni mwenye vyeti fake. Mimi nazunguka na Ujumbe wa.....nchi mbalimbali. Huwezi jilinganisha nami hata chembe. Nipo USA kwa Sasa. Washington DC.
Hakuna mtu anayejielewa akakubali kujiita mnyonge. Jiwe alikubalika sana kwa watu wajinga na wakawa wanajiita wanyonge. Taja mtu mmoja nchini Tanzania aliyewahi kumkubali jiwe zaidi ya nyie mnaojiita wanyonge. Hata mkewe tu hakumbubali huyo shujaa wenu
 
Back
Top Bottom