Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
Kuna kipindi nilitaka kujinyonga, nikakumbuka hii PEPSI namuachia nani?Naona Pepsi inazidi kupendwa sana na wabongo, sijui kwanini juzi kati nilikuwa Dar kama unavyojua Dar jua kali sana sehemu za vinywaji laini wengi walikuwa wanaagiza pepsi na maji...