Moja ya mapungufu kwenye Sheria inaweza kuwa ni Lugha iliyotumika

Moja ya mapungufu kwenye Sheria inaweza kuwa ni Lugha iliyotumika

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124

Mapungufu katika Sheria yanaweza kuwa ni Lugha ambayo imetumika ikiwa haijulikani kwa Raia wengi na hivyo kusababisha tafsiri tofauti, au utata katika Utekelezaji wake.

Pia, Utekelezaji wake kuwa na mwelekeo wa upendeleo au ubaguzi dhidi ya makundi fulani ya Watu, ikisababisha kutokuwa na Usawa katika matokeo au Haki.
 
Back
Top Bottom