Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu ni "Education is better than money"

Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu ni "Education is better than money"

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu in huu kwamba Elimu ni bora kuliko pesa

Yani nakumbuka kipindi nipo shule kwenye debate kupitia motion hii ya "Education is better than money" nilikuwa naitetea sana elimu nikiamini ndiyo kila kitu kwenye maisha

Leo nimehitimu chuo nina degree ila bado sioni umuhimu wa elimu kwakuwa sina pesa sina ajira nadharaulika mtaani

Kweli najutia kuitetea elimu, This is painful truth
 
Unajua maana ya elimu ?

 
Thank yuu chair person, thank time keeper, and other member of this debate.

Am hear to support this debate that education is better than maney.

Becouse you can have maney but if you do not have education your will not count your money.

Second point If you have not education you will not read becouse school is education we got

Third point education can give work and work is give us basic need

Thank time keeper🤌🤌🤌🤌🤝🤝🤝🤝
😂😂😂😂😂😂 Ungesee mtupu
 
Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu in huu kwamba Elimu ni bora kuliko pesa

Yani nakumbuka kipindi nipo shule kwenye debate kupitia motion hii ya "Education is better than money" nilikuwa naitetea sana elimu nikiamini ndiyo kila kitu kwenye maisha

Leo nimehitimu chuo nina degree ila bado sioni umuhimu wa elimu kwakuwa sina pesa sina ajira nadharaulika mtaani

Kweli najutia kuitetea elimu, This is painful truth

 
Thank yuu chair person, thank time keeper, and other member of this debate.

Am hear to support this debate that education is better than maney.

Becouse you can have maney but if you do not have education your will not count your money.

Second point If you have not education you will not read becouse school is education we got

Third point education can give work and work is give us basic need

Thank time keeper🤌🤌🤌🤌🤝🤝🤝🤝
😂😂😂😂😂😂 Ungesee mtupu
Ujingaaa mtupuu
 
Ni kweli kabisa elimu ni Bora kuliko pesa.wewe ulipata Bora elimu na siyo elimu bora.yawezekana ulisoma hizi shule za kajamba nane(kata au shule za lowasa)yote haya yamesababishwa na mfumo wetu mbovu wa elimu ambao humufanya mhitimu asiwe na maarifa ya kumfanyia atatue changamoto zinazoizunguka jamii yake.Mfumo wa elimu ubadilishwe uendane na mazingira yetu ili tuwe na watu wenye elimu Bora .
 
Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu in huu kwamba Elimu ni bora kuliko pesa

Yani nakumbuka kipindi nipo shule kwenye debate kupitia motion hii ya "Education is better than money" nilikuwa naitetea sana elimu nikiamini ndiyo kila kitu kwenye maisha

Leo nimehitimu chuo nina degree ila bado sioni umuhimu wa elimu kwakuwa sina pesa sina ajira nadharaulika mtaani

Kweli najutia kuitetea elimu, This is painful truth
Tumia elimu yako kupata pesa
 
Leo nimehitimu chuo nina degree ila bado sioni umuhimu wa elimu kwakuwa sina pesa sina ajira nadharaulika mtaani
Hoja ya elimu kuwa bora kuliko hela ipo sahihi hadi leo, sema tu ulitetea motion bila kuielewa. Sasa hivi unadhani umegundua kuwa ni tofauti, lakini si tofauti kwa uhalisia wake, ila kwa mtazamo wako uliotoka nao tangu enzi hizo za debate (ambao kwa bahati mbaya haujafanikiwa kubadilika licha ya kuongeza madarasa).
 
Back
Top Bottom