Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu ni "Education is better than money"

Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu ni "Education is better than money"

Thank yuu chair person, thank time keeper, and other member of this debate.

Am hear to support this debate that education is better than maney.

Becouse you can have maney but if you do not have education your will not count your money.

Second point If you have not education you will not read becouse school is education we got

Third point education can give work and work is give us basic need

Thank time keeper🤌🤌🤌🤌🤝🤝🤝🤝
😂😂😂😂😂😂 Ungesee mtupu
Aiseee!😂😂😂
 
Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu in huu kwamba Elimu ni bora kuliko pesa

Yani nakumbuka kipindi nipo shule kwenye debate kupitia motion hii ya "Education is better than money" nilikuwa naitetea sana elimu nikiamini ndiyo kila kitu kwenye maisha

Leo nimehitimu chuo nina degree ila bado sioni umuhimu wa elimu kwakuwa sina pesa sina ajira nadharaulika mtaani

Kweli najutia kuitetea elimu, This is painful truth
Umehitimu chuo gani Leo na wapi wapi?mbona mud wa
kuhitimu bado?
 
You need to calm down. Vinginevyo utapata depression na hata kuokota makopo maana nyuzi zako nyingi ndiko zinakoelekea!

Halafu nikwambie kitu. Nobody cares na maisha yako ni jukumu lako mwenyewe. Kulalamika kote huku hakutakusaidia cho chote. Sana sana lia na wazazi wako waliokupeleka shule badala ya kukupatia mtaji baada ya kumaliza form four. Life ain't for sissies!

Wake up!

 
Thank yuu chair person, thank time keeper, and other member of this debate.

Am hear to support this debate that education is better than maney.

Becouse you can have maney but if you do not have education your will not count your money.

Second point If you have not education you will not read becouse school is education we got

Third point education can give work and work is give us basic need

Thank time keeper🤌🤌🤌🤌🤝🤝🤝🤝
😂😂😂😂😂😂 Ungesee mtupu
Konkooo nkooo time is over

Welcome another partcipant from oppser side.
 
Thank yuu chair person, thank time keeper, and other member of this debate.

Am hear to support this debate that education is better than maney.

Becouse you can have maney but if you do not have education your will not count your money.

Second point If you have not education you will not read becouse school is education we got

Third point education can give work and work is give us basic need

Thank time keeper🤌🤌🤌🤌🤝🤝🤝🤝
😂😂😂😂😂😂 Ungesee mtupu
12 years later....😂😂😂 Im so fucced up!!! Lord forgive me for my Sins
 
12 years later....😂😂😂 Im so fucced up!!! Lord forgive me for my Sins
Thank chairperson for giving me this Chance..
Our motion start that ""education is better than money "" yes me as me i say is true education is better than money becouse no education you can't manage your money
 
Elimu ni muhimu sana lakini inategemea ni ELIMU GANI?

Kama ni ile ELIMU ya PANZI ANA MIGUU MINGAPI, kwa kweli ni bora maokoto kuliko habari za panzi.

Kuna elimu na ELIMU. Lazima uelewe tofauti.

Wengi wenu mlienda shule KUSOMEA UJINGA na sio kupata elimu ya kwelii.

Cc: Poor Brain faiza foxy NAMBA MOJA AJAYE NCHINI min -me DR Mambo Jambo FaizaFoxy
 
Thank yuu chair person, thank time keeper, and other member of this debate.

Am hear to support this debate that education is better than maney.

Becouse you can have maney but if you do not have education your will not count your money.

Second point If you have not education you will not read becouse school is education we got

Third point education can give work and work is give us basic need

Thank time keeper🤌🤌🤌🤌🤝🤝🤝🤝
😂😂😂😂😂😂 Ungesee mtupu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Niache bana naumwa bandama SITAKIII 😂😂😂
 
However, we can not underestimate the importance of debates in schools.

Debates are useful to build your linguistic proficiency and skills. They train you to have confidence and acquire basic oratory capabilities.

I don't care how stupid the debate motion is, i care about its intended outcome.

Mimi nilikuwa nguli wa Kingereza kutokana na kujiamini shuleni na kupewa nafasi nyingi za kujieleza. Na imenisaidia sana mpaka vyuo vikuu nilivyopita nilikuwa bingwa kweli kweli nachapa ung'eng'e kama mzungu koko.

Wakati wengine wakibabaika kujieleza kwa kingereza cha ugoko kwenye presentations, mimi nilikuwa nawaburuza tuu na imenisaidia sana kwa kweli. Uwezo wangu wa lugha kwa ujumla ni imara sana.

Nilipokuwa High School, walimu walikuwa wananing'ang'ania niende kwenye inter-schools debates competitions ili nikawaoshee. Nilikuwa bingwa haswa ila sikuwa napenda sana nikawa nagoma.

Hata walimu na lecturers kwenye shule na vyuo nilivyopita hakuna aliyeweza kufikia umahiri wangu wa Lugha na Kiingereza.

Kila nilipopewa nafasi ya kuzungumza walikuwa wananywea kweli kweli. My language was extremely powerful.

Ni kama nilikuwa nawa-overpower kwa zile skills za lugha.

Cc: Poor Brain Extrovert
 
You need to calm down. Vinginevyo utapata depression na hata kuokota makopo maana nyuzi zako nyingi ndiko zinakoelekea!

Halafu nikwambie kitu. Nobody cares na maisha yako ni jukumu lako mwenyewe. Kulalamika kote huku hakutakusaidia cho chote. Sana sana lia na wazazi wako waliokupeleka shule badala ya kukupatia mtaji baada ya kumaliza form four. Life ain't for sissies!

Wake up!

Kumbe ni chronic whinner

Basi pole yake
 
However, we can not underestimate the importance of debates in schools.

Debates are useful to build your linguistic proficiency and skills. They train you to have confidence and acquire basic oratory capabilities.

I don't care how stupid the debate motion is, i care about its intended outcome.

Mimi nilikuwa nguli wa Kingereza kutokana na kujiamini shuleni na kupewa nafasi nyingi za kujieleza. Na imenisaidia sana mpaka vyuo vikuu nilivyopita nilikuwa bingwa kweli kweli nachapa ung'eng'e kama mzungu koko.

Wakati wengine wakibabaika kujieleza kwa kingereza cha ugoko kwenye presentations, mimi nilikuwa nawaburuza tuu na imenisaidia sana kwa kweli. Uwezo wangu wa lugha kwa ujumla ni imara sana.

Nilipokuwa High School, walimu walikuwa wananing'ang'ania niende kwenye inter-schools debates competitions ili nikawaoshee. Nilikuwa bingwa haswa ila sikuwa napenda sana nikawa nagoma.

Hata walimu na lecturers kwenye shule na vyuo nilivyopita hakuna aliyeweza kufikia umahiri wangu wa Lugha na Kiingereza.

Kila nilipopewa nafasi ya kuzungumza walikuwa wananywea kweli kweli. My language was extremely powerful.

Ni kama nilikuwa nawa-overpower kwa zile skills za lugha.

Cc: Poor Brain Extrovert
Wee ni mtaalamu sana sema ni vile tuu huku jf unatufanya wenzako machizi na maneno yako ya hovyo 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom