Moja ya vitu ambavyo directors wa action movies wanafeli

Moja ya vitu ambavyo directors wa action movies wanafeli

Labda Mkuu kitu ambacho hujaelewa ni Kuwa Aliyeteka anakuwa na ni demand zake ndio maana kateka hivyo hawezi kumuua mpaka matakwa yake yatimizwe

Ndio maana polisi au hao ma stering wa kwenye movie huwa wanakubali kwanza matakwa yao pia inasaidia kuvuta muda..
Hata awe na demand gani haupaswi kumuamini maneno ya Jambazi

In reality Jambazi hawezi kukuacha kisha akimbie huku akijua kabisa umemuona na soon baada ya yeye kuondoka utaweza kupiga dispatch kuomba backup muanze kumfukuza ambapo mkimkamata ni kifungo cha miaka mingi gerezani.
 
Sio kila jambazi ni muuaji and vice versa... ikitokea amedhuru mtu ni either self defense au victim wa huo uporaji ni mbishi kias kwamba atawapotezea mda ambao utawaweka hao majambazi matatani ... But Muuaji yeye hajali nini wala nini yeye ukikaa mbele yake lazima akumalize coz they don't give a f*ck ... Watu hawa wawili kwenye upande wa kuweka mtu kama kinga ya kutorokea huwa na dhamira tofauti, Mmoja yupo radhi aende jela lakin sio kuua askari maana anajua balaa lake, Na huyo mwengine yeye hajali ni either afe yeye, ufe wew au mfe wote bt mostly ufe wewe ... No matter upo kwenye situation yeyote na mmoja kati ya hao wawaili, Usithubutu kuweka silaa yako chini coz hiyo ndo ticket yako ya mwisho
Nakubaliana na wewe kuwa sio kila jambazi ni muuaji lakini swali ni je utajuaje kuwa huyu si muuaji anatishia tu ili atoroke?

Vipi kama anatumia mateka kama njia ya kukushawishi ukubali kusalimisha silaha yako ili apate nafasi ya kukumaliza kufuta ushahidi?
 
Mtakaji akiwa kajificha vizuri nyuma ya huo aliyemshikilia chances za kushoot maeneo vital hupungua, hivyo kuna uwezekano ukishoot ukamkosa au ukapiga sehemu ambazo hazimfanyi kupoteza nguvu au kufa. Hivyo inategemea mtekaji kajiweka vipi nyuma ya huyo mateka.
Ni kweli akijificha nyuma ya huyo mtu inakuwa ni ngumu kupata target

Lakini kwa namna moja mazingira yanaweza kutofautiana kutokana na kimo cha Mateka.

Endapo Jambazi akiwa mrefu kuliko Mateka basi chance ya Jambazi kujificha inaweza kuwa katika mazingira magumu.

Kwasababu kuficha kichwa nyuma ya kichwa cha Mateka ni kukubali kutomuona Polisi ambapo hiyo inaweza kuwa risk kwa Jambazi.
 
Kwanza kabisa huyu mtekaji anajua kufa na kupona wakati wowote ni sehemu ya kazi yake. Hivyo ni lazima atakuwa professional sana kujua hatari hiyo inapokaribia.

Halafu huyo mateka na jamaa anayeenda kumuokoa wanaweza kuwa na advantage fulani hivyo hawezi kuwaua pasipo ulazima. Mfano huyo mateka anatakiwa apatikane hai ili mtekaji apate pesa.
 
Nakubaliana na wewe kuwa sio kila jambazi ni muuaji lakini swali ni je utajuaje kuwa huyu si muuaji anatishia tu ili atoroke?

Vipi kama anatumia mateka kama njia ya kukushawishi ukubali kusalimisha silaha yako ili apate nafasi ya kukumaliza kufuta ushahidi?
Paragraph yang ya mwisho nime finalize boss
 
Paragraph yang ya mwisho nime finalize boss
Niliona Mkuu ila nilikuwa naongezea maswali kwa wadau ambao wanaweza kuona kusalimisha silaha ndio best option
 
Back
Top Bottom