Hata awe na demand gani haupaswi kumuamini maneno ya JambaziLabda Mkuu kitu ambacho hujaelewa ni Kuwa Aliyeteka anakuwa na ni demand zake ndio maana kateka hivyo hawezi kumuua mpaka matakwa yake yatimizwe
Ndio maana polisi au hao ma stering wa kwenye movie huwa wanakubali kwanza matakwa yao pia inasaidia kuvuta muda..
Nakubaliana na wewe kuwa sio kila jambazi ni muuaji lakini swali ni je utajuaje kuwa huyu si muuaji anatishia tu ili atoroke?Sio kila jambazi ni muuaji and vice versa... ikitokea amedhuru mtu ni either self defense au victim wa huo uporaji ni mbishi kias kwamba atawapotezea mda ambao utawaweka hao majambazi matatani ... But Muuaji yeye hajali nini wala nini yeye ukikaa mbele yake lazima akumalize coz they don't give a f*ck ... Watu hawa wawili kwenye upande wa kuweka mtu kama kinga ya kutorokea huwa na dhamira tofauti, Mmoja yupo radhi aende jela lakin sio kuua askari maana anajua balaa lake, Na huyo mwengine yeye hajali ni either afe yeye, ufe wew au mfe wote bt mostly ufe wewe ... No matter upo kwenye situation yeyote na mmoja kati ya hao wawaili, Usithubutu kuweka silaa yako chini coz hiyo ndo ticket yako ya mwisho
Ni kweli akijificha nyuma ya huyo mtu inakuwa ni ngumu kupata targetMtakaji akiwa kajificha vizuri nyuma ya huo aliyemshikilia chances za kushoot maeneo vital hupungua, hivyo kuna uwezekano ukishoot ukamkosa au ukapiga sehemu ambazo hazimfanyi kupoteza nguvu au kufa. Hivyo inategemea mtekaji kajiweka vipi nyuma ya huyo mateka.
Paragraph yang ya mwisho nime finalize bossNakubaliana na wewe kuwa sio kila jambazi ni muuaji lakini swali ni je utajuaje kuwa huyu si muuaji anatishia tu ili atoroke?
Vipi kama anatumia mateka kama njia ya kukushawishi ukubali kusalimisha silaha yako ili apate nafasi ya kukumaliza kufuta ushahidi?