Mokwena: Tunaiheshimu Yanga. Kwa watu waelewa hii kauli ni mbaya

Mokwena: Tunaiheshimu Yanga. Kwa watu waelewa hii kauli ni mbaya

Mamelodi huwa wanafungika nyi msiojua mpira wakicheza na hao Petro tu huwa wanasumbuka mno mno Mvala anaishia kula red card kwa kufanya faulo huku akiwa mchezaji wa Mwisho...beki za kati za Mamelodi zikipata kashikashi zinamtegemea Williams ndio awasaidie..Mamelodi wapo vizuri beki zote za kulia na kushoto pamoja na viungo wao na hao washambuliaji wao ila beki yao ina utata kidogo ni wakina Key wafunguke tu wale wanafungika ingawaje Mpira utachezwa kweli hapo daslm...
Inafurahisha kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mechi ya Yanga na Mamelody imekuwa gumzo, wakati Mechi itakayotangulia kuchezwa ni ya Simba Vs Al Ahly
 
Sasa si ndo ulete hapa uthibitisho wa hicho unacho kisemaa.
13 na 26 2001
Screenshot_2024-03-26-16-01-00-51_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Habari wakuu,

Tuanzie hapa,
" Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa."
Kocha wa Mamelodi Sundowns ( Rulani Makwena)

Hayo ni maneno ya Kocha wa wababe toka Africa kusini Mamelodi Sundowns ( Masandawana ) kuelekea mchezo wao dhidi ya Dar Young Africans panapo March 30.

Bila kusahau kwenye ulimwengu wa Soka hii ni kauli mbaya sana kwa Yanga iliyotolewa na mpinzani wake huyo. Mpinzani anapokuheshimu ina maana anaenda kukuwekea silaha zote za mauaji tayari kwa vita na hataki kukuletea utani.

Bila shaka Yanga inatakiwa kuwa makini sana kuelekea mtanange huu, hii ni baada ya kila dalili mbaya kuonekana upande wao.

View attachment 2944908
MIND GAMES TU, ILA MPIRA NI DAKIKA 90+
 
Habari wakuu,

Tuanzie hapa,
" Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa."
Kocha wa Mamelodi Sundowns ( Rulani Makwena)

Hayo ni maneno ya Kocha wa wababe toka Africa kusini Mamelodi Sundowns ( Masandawana ) kuelekea mchezo wao dhidi ya Dar Young Africans panapo March 30.

Bila kusahau kwenye ulimwengu wa Soka hii ni kauli mbaya sana kwa Yanga iliyotolewa na mpinzani wake huyo. Mpinzani anapokuheshimu ina maana anaenda kukuwekea silaha zote za mauaji tayari kwa vita na hataki kukuletea utani.

Bila shaka Yanga inatakiwa kuwa makini sana kuelekea mtanange huu, hii ni baada ya kila dalili mbaya kuonekana upande wao.

View attachment 2944908
Maeneo mengi Watz huwa tunashindwa kwa kukosa ujasiri. Jiani, pambana mengine yatakuja huko huko.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Naionea huruma gongowazi masandawana wanaenda kugonga palepale kwenye ugoko
 
Ushabiki sometimes ni uchizi, sasa kocha gani uliona anadharau mechi kwa kusema hamuheshimu mpinzani.

Hata akiwa anacheza na timu daraja la 3 bado atasema anamuheshimu mpinzani.
Au umeanza kupenda mpira baada ya droo ya caf??
 
Back
Top Bottom