Mokwena: Tunaiheshimu Yanga. Kwa watu waelewa hii kauli ni mbaya

Mokwena: Tunaiheshimu Yanga. Kwa watu waelewa hii kauli ni mbaya

Ushabiki sometimes ni uchizi, sasa kocha gani uliona anadharau mechi kwa kusema hamuheshimu mpinzani.

Hata akiwa anacheza na timu daraja la 3 bado atasema anamuheshimu mpinzani.
Au umeanza kupenda mpira baada ya droo ya caf??
Zipo hizo mechi,
Kocha wa Jwaneng Galaxy hakuonyesha nidhamu mbele ya Simba na kusema ni kikosi cha wazee Lakini Simba akapiga Sita.
 
Simba ina rekodi yake na Al Ahly, sio jambo geni lianze kuzungumzwa sana.

Yanga ina Rekodi ipi Vs Masandawana?

Ni mara ya kwanza katika historia ndio zinakutana uso kwa uso
View attachment 2944932
Mashabiki wa Simba ni mambumbumbu na wengi wenu sio hamjui tu, bali hamfuatilii kabisa soccar.
Yani we kwa umri wako huo ni mtu wakusema Yanga vs Mamenlody ni mara yao ya kwanza kukutana?
We jamaa upigwe viboko kumi kwanza, kabla ya ku- log in.
 
Sasa si ndo ulete hapa uthibitisho wa hicho unacho kisemaa.
We bata maji, Yanga vs Mamenlody walishakutana 2001.
Bongo ngoma iliisha sare ya 3 - 3, kule kwao walituotea 3 -2.

Alafu we kuushabikia mpira ni kuudhalilisha tu mchezo huu, watu wa aina yako wanafuatilia mambo ya mitindo sio soccer.
 
Mamelodi anawatisha watu ambao hawaujui mpira wa africa ukoje.

mazembe tu ya mwaka huu iliyojichokea kamtoa jasho mamelodi agreggate 1 - 1 mechi 2. na hapo mamelodi kapewa penalty
Mazembe mwaka huu haijachoka.
 
Naona yanga ndio wanaidharau sana Mamelodi ..
 
We kenge kuna mtu anaenda vitani asipeleke siraha zake zote?. Kwa hiyo kama kauli yake ni mbaya kwa hiyo wewe umekuja kumsemea unamtisha nani? YANGA? Halafu ukimtisha YANGA,afanyeje? Asiende kucheza?.
Mikia mna matatizo. Kwa akili zenu mnatamani mkamchezee nyie YANGA,ili mupigwe hata 5. Huyo unaemsemea nakutuma tena nenda kamwambie alete timu uwanjani. Vitisho havina nafasi. Mpira ni dakika 90 uwanjani
Kama ni mdomo wakuongea mnao na hadi mimate inaruka ..yanga mmeidharau mamelodi kwa kiwango kikubwa sana.
 
Zipo hizo mechi,
Kocha wa Jwaneng Galaxy hakuonyesha nidhamu mbele ya Simba na kusema ni kikosi cha wazee Lakini Simba akapiga Sita.
Kama yanga wanavyoidharau pakubwa mamelodi kwamba watawapiga 5. Na kule kwa madiba watawapiga 4.
 
Yanga tunaieshimu sana Mamelodi; ni timu kubwa sana Afrika. Hata hivyo ileweke kuwa Tanzania na South Afrika na ni ndugu wa damu, na kwa kutambua undugu wetu ulioasisiwa na mwalimu Nyerere pamoja na Nelson Madiba Mandela, tunategemea Mamelodi wauendeleze kwa kucheza "Nice" mbele ya Yanga.
 
Kama ni mdomo wakuongea mnao na hadi mimate inaruka ..yanga mmeidharau mamelodi kwa kiwango kikubwa sana.
Unapimwa kwa ongea yako. Wewe wakuwahishe milembe soon,kabla hujaenda hatua ya pili.
 
Unapimwa kwa ongea yako. Wewe wakuwahishe milembe soon,kabla hujaenda hatua ya pili.
Kama ni mdomo wakuongea mnao na hadi mimate inaruka ..yanga mmeidharau mamelodi kwa kiwango kikubwa sana.
 
Back
Top Bottom