Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Simba imewahi kuitowa lini Al Ahaly?Simba ina rekodi yake na Al Ahly, sio jambo geni lianze kuzungumzwa sana.
Yanga ina Rekodi ipi Vs Masandawana?
Ni mara ya kwanza katika historia ndio zinakutana uso kwa uso
View attachment 2944932
Mbona unairuka tano [emoji23][emoji23]Hata mimi nawaza hivyo, anaweza kupigwa 6 bila. Bora apigwe mbili tu
zisha wahi kukutana mkuu fatilia rekodiSimba ina rekodi yake na Al Ahly, sio jambo geni lianze kuzungumzwa sana.
Yanga ina Rekodi ipi Vs Masandawana?
Ni mara ya kwanza katika historia ndio zinakutana uso kwa uso
View attachment 2944932
hajui huyo mpira kaujua leo..😂zisha wahi kukutana mkuu fatilia rekodi
Inafurahisha kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23]Mamelodi huwa wanafungika nyi msiojua mpira wakicheza na hao Petro tu huwa wanasumbuka mno mno Mvala anaishia kula red card kwa kufanya faulo huku akiwa mchezaji wa Mwisho...beki za kati za Mamelodi zikipata kashikashi zinamtegemea Williams ndio awasaidie..Mamelodi wapo vizuri beki zote za kulia na kushoto pamoja na viungo wao na hao washambuliaji wao ila beki yao ina utata kidogo ni wakina Key wafunguke tu wale wanafungika ingawaje Mpira utachezwa kweli hapo daslm...
Sasa si ndo ulete hapa uthibitisho wa hicho unacho kisemaa.zisha wahi kukutana mkuu fatilia rekodi
Haina mvutoMbona Makolo hamuongelei game yenu na Al Ahly..?? Haha
Acha ujinga kama hujui historia uliza.Simba ina rekodi yake na Al Ahly, sio jambo geni lianze kuzungumzwa sana.
Yanga ina Rekodi ipi Vs Masandawana?
Ni mara ya kwanza katika historia ndio zinakutana uso kwa uso
View attachment 2944932
13 na 26 2001Sasa si ndo ulete hapa uthibitisho wa hicho unacho kisemaa.
MIND GAMES TU, ILA MPIRA NI DAKIKA 90+Habari wakuu,
Tuanzie hapa,
" Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa."
Kocha wa Mamelodi Sundowns ( Rulani Makwena)
Hayo ni maneno ya Kocha wa wababe toka Africa kusini Mamelodi Sundowns ( Masandawana ) kuelekea mchezo wao dhidi ya Dar Young Africans panapo March 30.
Bila kusahau kwenye ulimwengu wa Soka hii ni kauli mbaya sana kwa Yanga iliyotolewa na mpinzani wake huyo. Mpinzani anapokuheshimu ina maana anaenda kukuwekea silaha zote za mauaji tayari kwa vita na hataki kukuletea utani.
Bila shaka Yanga inatakiwa kuwa makini sana kuelekea mtanange huu, hii ni baada ya kila dalili mbaya kuonekana upande wao.
View attachment 2944908
Simba vs Al AhlyMbona Makolo hamuongelei game yenu na Al Ahly..?? Haha
Maeneo mengi Watz huwa tunashindwa kwa kukosa ujasiri. Jiani, pambana mengine yatakuja huko huko.Habari wakuu,
Tuanzie hapa,
" Haina maana ya kufanya defense, mpira ni mchezo wa burudani inayovutia mashabiki. Tunaenda kucheza mpira kama ilivyo kawaida yetu. Tunaiheshimu Yanga, hivyo tutahakikisha tunakuwa vizuri ili kukabiliana nao bila kufanya mabadiliko yeyote makubwa."
Kocha wa Mamelodi Sundowns ( Rulani Makwena)
Hayo ni maneno ya Kocha wa wababe toka Africa kusini Mamelodi Sundowns ( Masandawana ) kuelekea mchezo wao dhidi ya Dar Young Africans panapo March 30.
Bila kusahau kwenye ulimwengu wa Soka hii ni kauli mbaya sana kwa Yanga iliyotolewa na mpinzani wake huyo. Mpinzani anapokuheshimu ina maana anaenda kukuwekea silaha zote za mauaji tayari kwa vita na hataki kukuletea utani.
Bila shaka Yanga inatakiwa kuwa makini sana kuelekea mtanange huu, hii ni baada ya kila dalili mbaya kuonekana upande wao.
View attachment 2944908
Ni sahihi na maisha yaendelee kwani hawa Rage FC wanajidharirisha sana kuelekea hizi game.Hizi mechi zipite sasa ili tupumue.
We ni kiazii... Nyie ndio mmeanza kufuatulia mpira Manara akiwa mhamasishaji wenu?Simba ina rekodi yake na Al Ahly, sio jambo geni lianze kuzungumzwa sana.
Yanga ina Rekodi ipi Vs Masandawana?
Ni mara ya kwanza katika historia ndio zinakutana uso kwa uso
View attachment 2944932