Mombasa City Gallery

Nikuulize dada, hapo ni CBD?? Yaani mwanzo niulize, barabara hii mbona vumbi kotekote, halafu kandokando hamna sidewalks, na vibanda hivyo vyafanya nini katikati ya jiji??? Sehemu tupu ambazo zinafanya huo mji ukae si mji tena
View attachment 472918
Naanza na wewe ufiche Upumbavu wako
hii sio CBD

Hapo ni pembeni ya Jiji
panaitwa Morocco sqr
Bado panajengwa


 
OMG ata nilivyo kuwa nikidhani kuhusu Dar si hivyo?? Nilikuwa kidogo nadhani ni jiji!!! Daah kumbe bado sana
 
Naomba mpuuzi yeyote mkenya aje hapa
Twende hatua kwa hatua
Jengo kwa Jengo
ukipost jengo marufuku kurudia

Msianze kulialia
mmetaka wenyewe
kulinganisha Dar na upumbavu
twendeni
 
Daaaaaaaah! Umemaliza!!! Yaani hivi umeonesha wazi. Dar inasemu ndogo sana ambayo inaweza itwa city, Kule pembeni ni mkusanyiko wa watu. City kamwe haiwezi kaa hivyo, vijumba aina hiyo!!
Hapa tu dio Dar jiji!!
View attachment 472988
Man unabonga shit sana....iyo ni picha ya cbd. ...hapo kariakoo huoni..huioni upanga wala sehemu nyingine kibao...acha kutapika ovyo ushindi hauji kirahisi namna hyo
 
Naomba mpuuzi yeyote mkenya aje hapa
Twende hatua kwa hatua
Jengo kwa Jengo
ukipost jengo marufuku kurudia

Msianze kulialia
mmetaka wenyewe
kulinganisha Dar na upumbavu
twendeni
[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] njoo njoo
 
Naomba mpuuzi yeyote mkenya aje hapa
Twende hatua kwa hatua
Jengo kwa Jengo
ukipost jengo marufuku kurudia

Msianze kulialia
mmetaka wenyewe
kulinganisha Dar na upumbavu
twendeni

Msafishe jiji lenu kwanza kabla hamjaja hapa kulinganisha majiji yetu ya heshima na vitu vya wala Albino. Take to your Threads.Endeleeni kunyosha nchi na Pogba wenu mwanzo. Duuuh! Hawasikii hawa vilaza
 
Daaaaaaaah! Umemaliza!!! Yaani hivi umeonesha wazi. Dar inasemu ndogo sana ambayo inaweza itwa city, Kule pembeni ni mkusanyiko wa watu. City kamwe haiwezi kaa hivyo, vijumba aina hiyo!!
Hapa tu dio Dar jiji!!
View attachment 472988

Very small town halafu wamejazana pembeni utadhani kuna uyoga wanatafuta.... Watakuja watakuambia Dar ni jiji la watu milioni tano sijui sita kumbe ni hawa wa kutafuta uyoga.
 
Msafishe jiji lenu kwanza kabla hamjaja hapa kulinganisha majiji yetu ya heshima na vitu vya wala Albino. Take to your Threads.Endeleeni kunyosha nchi na Pogba wenu mwanzo. Duuuh! Hawasikii hawa vilaza
Nimekuja naitaji kilaza mmoja
au wote
twende kazi marufuku kurudia picha wala Jengo
tuone
mmezidi kuropoka upumbavu humu

Waite wenzie
 
Naanza na wewe ufiche Upumbavu wako
hii sio CBD

Hapo ni pembeni ya Jiji
panaitwa Morocco sqr
Bado panajengwa

Ni sawa, mi nilikuwa tu na issue moja, ona ilivyo kandokando ya Barabara, ni kama tu zile barbara vijijini!

La pili, nimeangalia satelite view ya Dar, Kweli Dar ni kubwa, Tena sana, Inaonekana tena kuna watu wengi sana, ila huu mji hauna tabia za jiji, city plan hakuna na watu wamejenga majumba yakitapakaa kiholela

Dar Kumbe ni mji unaishia hapa tu


Msiulize kwa nini nimeenda google, kuna jamaa aliyepost hapa picha ya Dar ikafuta taaswira nilikuwa nayo. Imebidi niende nitafute kweli huu mji
 
Hizo ngonjera nizako
hapa post picha bila kuirudia
jengo kwa jengo tuone

Nipo hapahapa leo sitoki
 

Kweli Mombasa mashoga wengi sana! !!!!!!!!! Ulichoandika hapo juu ni "ubwabwa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…