Mombasa City Gallery

We hushangai miji yenu yote mnacompare na Dar pekee...yani nai na Dar,uku mombasa na Dar. ...Dar ni kubwa kuliko Kenya ,hahaha

Ni nyinyi mlianza kucopmare Nairobi na dar, ila sisi hatungefanya hivyo, sisi Nairobi tunauzi kwenye Nairaland, tunaingia war na Jo'burg and Abuja. Dar kama ni sisi tungeipa Mombasa ichuane, lakini Nairobi imeizidi hadi haina haja kucompare
 
We hushangai miji yenu yote mnacompare na Dar pekee...yani nai na Dar,uku mombasa na Dar. ...Dar ni kubwa kuliko Kenya ,hahaha

Wewe ushangai kwa nini hatutaji miji mingine.... Dar is the only thing that comes close to Kenyan Standards. The rest are cities on paper.
 
Ni nyinyi mlianza kucopmare Nairobi na dar, ila sisi hatungefanya hivyo, sisi Nairobi tunauzi kwenye Nairaland, tunaingia war na Jo'burg and Abuja. Dar kama ni sisi tungeipa Mombasa ichuane, lakini Nairobi imeizidi hadi haina haja kucompare
Joburg sio level yenu hata kidogo. ..lagos yenyewe sema ni pako unplanned tu
 
Tehehehe... Na Dar level yake ni wapi?
Dar ndio hyo inawapumulia sahv uongo? Zaman mlikua mkiionea sana...lakini nairobi inakimbia vizur project za barabara nmezikubali,back to the topic joburgy inawapita kwa kila kitu nilini mtakua level moja?nawaza tu east Africa yote combined joburgy ndio mji tujifunze kwao! !
 
Joburg sio level yenu hata kidogo. ..lagos yenyewe sema ni pako unplanned tu

Wajua kama ilivyo Sandton, ndivyo ilivyo Upperhill, Zote zauindwa kwa wakati mmoja

Sandton SA


Upperhill Nairobi


Tunasonga nao one on one!!
 

Sasa weye ni mwanafunzi aina gani.... Duh! Nimeuliza hiyo Dar level yake ipi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…