Ulikuja kutembea tu...sasa ilikuaje yani matembezi yako ulikua unatumia daladala?nmeona ukisifia bei ya usafiri...ulikua umefikia wapiNimekua dar Kwa siku kumi nikifanya sampling, CBD kidogo mnajaribu ,jamii forum ndio imefanya nikaenda tz ,mwezi wa tatu nitakuja Niko na washikaji zangu wengi huko lazima nije,,,,ebu niulize mbona kuna idara ya uhamiaji ya Zanzibar pale Azam see link , Tanzania bara na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuja kutembea tu...sasa ilikuaje yani matembezi yako ulikua unatumia daladala?nmeona ukisifia bei ya usafiri...ulikua umefikia wapiNimekua dar Kwa siku kumi nikifanya sampling, CBD kidogo mnajaribu ,jamii forum ndio imefanya nikaenda tz ,mwezi wa tatu nitakuja Niko na washikaji zangu wengi huko lazima nije,,,,ebu niulize mbona kuna idara ya uhamiaji ya Zanzibar pale Azam see link , Tanzania bara na Zanzibar ni nchi mbili tofauti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kujua uhalisia wa mwananchi wa kawaida wa daresSalaam ndio maana nilikua natumia daladala Kwa siku tano nilikua nimezunguka mitaa yote ya daresSalaam afu hizo siku tano zingine sasa nilikua nakula bata na washikaji.muongeze magari ya usafiri ndani ya jiji ili watu wasiwe wanasimama Kwa gari.Ulikuja kutembea tu...sasa ilikuaje yani matembezi yako ulikua unatumia daladala?nmeona ukisifia bei ya usafiri...ulikua umefikia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
We mwenyewe umeshuhudia magari ni mengi ila watu ni wengi zaidiNilitaka kujua uhalisia wa mwananchi wa kawaida wa daresSalaam ndio maana nilikua natumia daladala Kwa siku tano nilikua nimezunguka mitaa yote ya daresSalaam afu hizo siku tano zingine sasa nilikua nakula bata na washikaji.muongeze magari ya usafiri ndani ya jiji ili watu wasiwe wanasimama Kwa gari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mitaa ya matajiri kama mbezi na mikocheni bado inahitaji miundombinu ya nguvu ,we pia mkaazi wa dar?
Kwa sasa nakaa Pwani, Ila dar nafika kila mwezi na nmekaa Dar sana kabla sijahama kikazi...ofcz unalosema uko sahihi kabisa..Mitaa ya matajiri kama mbezi na mikocheni bado inahitaji miundombinu ya nguvu ,we pia mkaazi wa dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oyster bay,masaki zipo Sawa lakini sinza bado hadhi ya chini Sana ,nilipita sinza nikienda mbezi Africana kumuona mshikaji wangu.Kwa sasa nakaa Pwani, Ila dar nafika kila mwezi na nmekaa Dar sana kabla sijahama kikazi...ofcz unalosema uko sahihi kabisa..
Ulifika oysterbay,Masaki? Sinza vp
Sent using Jamii Forums mobile app
Sinza uko ndani kuko poa Ila ndio usipalinganishe na Masaki, ulifika wap kwingineOyster bay,masaki zipo Sawa lakini sinza bado hadhi ya chini Sana ,nilipita sinza nikienda mbezi Africana kumuona mshikaji wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa wa pwani upoje?Kwa sasa nakaa Pwani, Ila dar nafika kila mwezi na nmekaa Dar sana kabla sijahama kikazi...ofcz unalosema uko sahihi kabisa..
Ulifika oysterbay,Masaki? Sinza vp
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenge,tegeta,kawe ,kimara,magomeni, kijitonyama, upanga,mbezi,mwananyamala ,manzese, temeke,mbagala,gongolamboto, karibu mitaa zote za dar,nikaenda hadi makumbusho , kivukoni pale nikakaushiwa pweza nikala.Sinza uko ndani kuko poa Ila ndio usipalinganishe na Masaki, ulifika wap kwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejitahidi kutembeaMwenge,tegeta,kawe ,kimara,magomeni, kijitonyama, upanga,mbezi,mwananyamala ,manzese, temeke,mbagala,gongolamboto, karibu mitaa zote za dar,nikaenda hadi makumbusho , kivukoni pale nikakaushiwa pweza nikala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitenga huo muda Kwa ajili ya kuijua daresSalaam afu Mimi pia napenda adventure Sana ,afu mwezi wa tatu au wa nne nitakua huko
Karibu tenaNilitenga huo muda Kwa ajili ya kuijua daresSalaam afu Mimi pia napenda adventure Sana ,afu mwezi wa tatu au wa nne nitakua huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu nimegundua watanzania hawana chuki na wakenya hizi chuki nizakimtandao tu .
Watanzania matajiri ndio wana chuki na ndio hawa wamo humu jf. Wabongo wa kawaida kule vijijini ni tofautiKitu nimegundua watanzania hawana chuki na wakenya hizi chuki nizakimtandao tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtz anachukia mkenya, hatupendi tu dharau na ujuaji mwingiWatanzania matajiri ndio wana chuki na ndio hawa wamo humu jf. Wabongo wa kawaida kule vijijini ni tofauti
You could be true,but I beg to differ with you sister Jane.humu ndani sidhani kama yupo mtanzania mtajiri all said and done Tanzanian wanatuona kama enemy ila sisi tunawaona kama our young brothers who still need a shoulder to lean on.Watanzania matajiri ndio wana chuki na ndio hawa wamo humu jf. Wabongo wa kawaida kule vijijini ni tofauti