Mombasa City Gallery

Mombasa City Gallery

4b10a8949f0af3b4f438706ecbb08c54.jpg
bb1c28e7a3ccabcdefba9dbed89fd666.jpg

Umeanza ku Edity picha
nitakuzingua muda wowote
Twende kazi

Hahaha aje sasa ushaanza kuogopa
Q2MTEiB.jpg
 
Inaundwa sahi, nadhani iimemalizika, jiji limekuwa likizidi kukua hadi huku ambako hasa kulikuwa pori
Then you should not always concentrate on our weakness ....muangalie kila kitu sio mkiona kasoro kidogo mnaanza siasa
 
There is no way mombasa can beat Dar never ever
 
One after another, ndio utaelewa mji si majumba marefu ama ukubwa, ni uzuri wake!!
 
There is no way mombasa can beat Dar never ever

Dar ni Jiji au Sehemu chafu kuliko zote Tanzania, Watu wote wenye matatizo kichwani wanaishi Dar, Muda huu uliopost wapo kwenye foleni kufika Nyumbani saa tano za usiku, Dar baadhi ya maeneo hali ya hewa wanayovuta ni chafu yenye ukaa, Dar ni nzuri kwa wateule wachache wanaotembea na vingo 'ora wengine hali zao ni stress
 
Back
Top Bottom