Mnakula bata ama mnakula albino?
Damn bruh, you didn't have to do like that
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnakula bata ama mnakula albino?
Most of it is going into or out of East Africa's largest economy and the rest to our neighborsNdio, huo mzigo wote mnao clear hapo msa port unakwenda wapi?
Tulia Magu atawanyoosha
Hii ndio kula Bata?SO WHAT YANI UNATAKA TUFANYE NN TUJENGE INGINE AU TUBOMOE YENU. WHAT'S YOUR POINT! OKAY MKO SUPERIOR SO WHAT? msituchoshe weekend hii twala bata nyie endeleeni na lockdown vile mnasema covid-19 inatofautisha usiku na mchana.
Sijaingia kwenye mada maana ni upuuziNdi hiyo tayari ushacoment
Hii ndio kula Bata?
View attachment 1509935
Kunyoosha ipi maana sasa hivi anaomba kura zenu maana kwamba awamu ya kwanza imeisha na hamna jipya mlilolifanya dhidi yetu zaidi ya kutia viberiti vifaranga wa kuku wetu.
Uongozi sio visasi na mikwara, unapaswa kuwa mjanja wa mikakati na diplomasia na mwenye uelewa wa ndani kuhusu uchumi.
Ndio, huo mzigo wote mnao clear hapo msa port unakwenda wapi?
Kuna nyuz zingine zinafaa kupuuzwa tu hazina ulazima wa kukoment
Hasira za nini bana wakati mnafahamu vizuri kwamba utepetevu na uzembe kwenye bandari zenu unaifaidi bandari ya Mombasa? Ndani ya miezi minne ya kwanza mwaka huu mizigo inayoelekea Tanzania kutoka Mombasa imeongezeka kwa 47%. Taarifa hizo zililetwa humu na mkamwaga hili povu lenu kama kawa. [emoji1] Mombasa port records increased cargo destined to Tanzania, South Sudan and the DRC Congo in the first four months of the yearSO WHAT YANI UNATAKA TUFANYE NN TUJENGE INGINE AU TUBOMOE YENU. WHAT'S YOUR POINT! OKAY MKO SUPERIOR SO WHAT? msituchoshe weekend hii twala bata nyie endeleeni na lockdown vile mnasema covid-19 inatofautisha usiku na mchana.
Najua siku zote Kenya huwa mnawapenda Marais wa Tz wabovu na warahisi kufuata mambo yenu. Lakini huyu Magu amewakilia kooni ndio maana kila kukicha mnamsema.
Kama hana lolote si mngefurahi maana mngepata fursa? Ya nn kelele na kulialia? Ndege alizonunua zinawaumiza sana maana mlishateka soko letu nje na ndani, SGR anayojenga haiwafurahisi maana mlishakuwa na mpango wa kuingia Congo kwa SGR yenu kupitia Rwanda. Viwanda anavyohamasisha hata kama mpaka sasa ni vichache lazima vitapunguza soko lenu, n. k
Hivi kwa akili ya kawaida mtampenda kweli? Jitafakarini zaidi mnalialia na vifaranga vichache sana hata huku amechoma bidhaa feki za watanzania bila kujali ni za nani maana zinadidimiza uchumi
Hasira za nini bana wakati mnafahamu vizuri kwamba utepetevu na uzembe kwenye bandari zenu unaifaidi bandari ya Mombasa? Ndani ya miezi minne ya kwanza mwaka huu mizigo inayoelekea Tanzania kutoka Mombasa imeongezeka kwa 47%. Taarifa hizo zililetwa humu na mkamwaga hili povu lenu kama kawa. [emoji1] Mombasa port records increased cargo destined to Tanzania, South Sudan and the DRC Congo in the first four months of the year
Huyo mungu mtu unayemsifia mzawadieni muhula mwingine. Maanake chini ya utawala wake Kenya imefaidi kibiashara. 2015/16 Kenya ndio ilikuwa na deficit kwa mara ya kwanza kwenye biashara kati ya Kenya-Tanzania. 2017 Tz ikarudi tena kwenye deficit 2018 mkavunja rekodi ya miaka sita ya kununua bidhaa za Kenya kwa wingi. Viwanda vya Kenya vimefaidi mno.Najua siku zote Kenya huwa mnawapenda Marais wa Tz wabovu na warahisi kufuata mambo yenu. Lakini huyu Magu amewakilia kooni ndio maana kila kukicha mnamsema. Kama hana lolote si mngefurahi maana mngepata fursa?
Hivi kwa akili ya kawaida mtampenda kweli? Jitafakarini zaidi mnalialia na vifaranga vichache sana hata huku amechoma bidhaa feki za watanzania.
Huyo mungu mtu unayemsifia mzawadieni muhula mwingine. Maanake chini ya utawala wake Kenya imefaidi kibiashara. 2015/16 Kenya ndio ilikuwa na deficit kwa mara ya kwanza kwenye biashara kati ya Kenya-Tanzania. 2017 Tz ikarudi tena kwenye deficit 2018 mkavunja rekodi ya miaka sita ya kununua bidhaa za Kenya kwa wingi. Viwanda vya Kenya vimefaidi mno. Bandari ya Mombasa nayo imeshamiri na mizigo inayoelekea Tz kaskazini imeongezeka kwa kasi. Taasisi zenu mmezidumaza kwa kuendeleza utamaduni wa kungoja maagizo kutoka juu, huku wenzao Kenya wakiwezeshwa zaidi kufikia maamuzi bora na ya kitaalamu.
Most of it is going into or out of East Africa's largest economy and the rest to our neighbors
Space wakati mna bandari ambazo hazipakui bidhaa hata kwa 30% tu ya capacity ambayo tayari wanayo? Km. bandari yenu ya Mtwara haifikishi hata 100,000 TEUs kwa mwaka. Kumbuka Mombasa pia na capacity yake yote bado inafanyiwa expansion na kuboreshwa zaidi. Alafu Lamu ikakamilishwa ndio mambo yatazidi kuwa magumu kwenu. Bandari ya Mombasa inafanikiwa kutoa huduma bora zaidi ya bandari zenu na mizigo ambayo inapita MSA ni zaidi ya mara mbili ya mizigo yote ya bandari ya Tz kwa pamoja.Nakubali ila uwe macho Tatizo tulilonalo sisi ni space pale bandari ya Dar ambalo liko mezani na linaumiza sana vichwa vyetu. Hii inasababisha delay na ndio maana customers wanchoose Mombasa over Dar.
Kwa sasa tunajenga bandari ya nchi kavu pale vigwaza na tunaexpand bandari yetu tuwe na lots za kutosha ili meli nyingi kwa wakati mmoja ziweze kupakua mizigo na soon things will change
Customers wanabadilika huduma inaporudi kwa hiyo naamini subirini machungu
Space wakati mna bandari ambazo hazipakui bidhaa hata kwa 30% tu ya capacity ambayo tayari wanayo? Km. bandari yenu ya Mtwara haifikishi hata 100,000 TEUs kwa mwaka. Kumbuka Mombasa pia na capacity yake yote bado inafanyiwa expansion na kuboreshwa zaidi. Alafu Lamu ikakamilishwa ndio mambo yatazidi kuwa magumu kwenu. Bandari ya Mombasa inafanikiwa kutoa huduma bora zaidi ya bandari zenu na mizigo ambayo inapita MSA ni zaidi ya mara mbili ya mizigo yote ya bandari ya Tz kwa pamoja.
Tanzania, Uganda, Rwanda, DRC, South Sudan, Ethiopia na Kenya.Hiyo mizigo inapita hapo mombasa kwenda wapi? Hiyo port ina serve nchi zipi?
Ni lini bidhaa nyingi zilipita Dar zaidi ya Mombasa? Kuhusu pato la serikali ya Tz, unamaanisha kwamba biashara zikipungua ndio huwa linaongezeka? Mbona pato la GOK, ambalo ni la thamani ya juu sana zaidi ya GoT, limekuwa likiongezeka kulingana na ongezeko la shughuli kibiashara?Heheee, unajua kwa nn bidhaa nyingi zilikuwa zinapita Dar? Ni kwa sababu ilikuwa shamba la bibi na nikuambie si kwa sababu Dar ilikuwa na ufanisi bali ni kwa sababu watanzania na wakenya, waganda, wacongo walikuwa wana chance ya kukwepa kodi.
Kwa sasa bidhaa zinapita chache ila pato la serikali linaongezeka ambacho ndicho tunalenga.
Taaratibu huduma zitarudi mkuu na pato litazidi kupaa na hapo ndipo mtaitambua na kumtambua Tanzania na Magufuli . What I can tell you is that Magufuli is not a president of short run plans nop he is for Longrun plans. That’s why I say in short run Kenya will enjoy a lot but just wait you will see after sometime.