Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Nami nina uhakika huohuoHawatofanywa chochote. Nina uhakika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nina uhakika huohuoHawatofanywa chochote. Nina uhakika.
yawezekana pia tusijue ni mzigo wa naniHawatofanywa chochote. Nina uhakika.
Kwanza hizo Uniform za huyo Mwanajeshi sio za Tanzania.![]()
Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.
Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.
Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.
Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Kesho si mbali mkuu.Lazima wakalie Chupa ya Coca pale Central!
Sio kwa utawala huu mkuu.[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Na wewe umehusika hapo maaana wamevuka vizuizi kibao ambavyo ww ulikua unavisimamia![]()
Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.
Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.
Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.
Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
wenyewe wanasema ni maigizo toka juuKwa Serikali ya Tanzania kesi ya ujangili si lolote ! Mbunge wa mbarali na familia yake ni ushahidi wa wazi kabisa , ugumu upo kwenye kesi za kisiasa tu .
Mnamkumbuka yule mzungu wa Kinana ? Je kesi yake bado ipo ?
lakini si alikubali kuwa meli ani zake ila mzigo si wake................Hivi mkuu una habari kuwa imebakia siku chache sana JF idukuliwe??....unaelewa maana ya mtandao wa kijamii ambao ni anonymous kudukuliwa???
![]()
Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.
Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.
Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.
Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Na mwenyekiti wa bodi Maliasili ni mkuu wa majeshi mstaafu.Katibu mkuu maliasili mwanajeshi, mkurugenzi TANAPA awali alikuwa mkuu wa majeshi and host of assistant wanajeshi.
Bado kuna ujangili, kila mtu na taaluma yake.
Kwahiyo hiyo shehena ilijipeleka yenyewe bandarini?![]()
Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.
Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.
Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.
Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.