Mombasa: Shehena ya Pembe za ndovu yakamatwa Bandarini

Mombasa: Shehena ya Pembe za ndovu yakamatwa Bandarini

Kwa Serikali ya Tanzania kesi ya ujangili si lolote ! Mbunge wa mbarali na familia yake ni ushahidi wa wazi kabisa , ugumu upo kwenye kesi za kisiasa tu .

Mnamkumbuka yule mzungu wa Kinana ? Je kesi yake bado ipo ?
 
a80c712869e446f413bd9bc6b7bd2a0b.jpg


Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.

Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.

Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.

Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Kwanza hizo Uniform za huyo Mwanajeshi sio za Tanzania.
Shame on you Mleta mada
 
a80c712869e446f413bd9bc6b7bd2a0b.jpg


Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.

Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.

Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.

Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Na wewe umehusika hapo maaana wamevuka vizuizi kibao ambavyo ww ulikua unavisimamia
 
Kwa Serikali ya Tanzania kesi ya ujangili si lolote ! Mbunge wa mbarali na familia yake ni ushahidi wa wazi kabisa , ugumu upo kwenye kesi za kisiasa tu .

Mnamkumbuka yule mzungu wa Kinana ? Je kesi yake bado ipo ?
wenyewe wanasema ni maigizo toka juu
 
Jama
a80c712869e446f413bd9bc6b7bd2a0b.jpg


Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.

Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.

Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.

Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.

Jamani,zile scanner alizo amuru mkuu zifungwe imekuwaje?
 
a80c712869e446f413bd9bc6b7bd2a0b.jpg


Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.

Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.

Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.

Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Kwahiyo hiyo shehena ilijipeleka yenyewe bandarini?

Document zina majina ya nani au kampuni gani inayosafirisha consignment hiyo? Na receiver huko ughaibuni ni nani au kampuni gani?

Kama hakuna maelezo hayo tuondoleeni huu upuuzi hapa JF tafuteni blog za watu wenye ubongo wa Tembo.
 
Back
Top Bottom