Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mombasa,KenyaNchi gani? Siyo tanzania hiyo
Ok, asantehapo ni bandari ya Mombasa kenya hii leo
Hapo sasa..Dah kweli watu hawasomi kichwa cha habari mtu kaandika mombasa lkn watu wanatililika tu wakijua ni bongo
Dah kweli watu hawasomi kichwa cha habari mtu kaandika mombasa lkn watu wanatililika tu wakijua ni bongo
Mkurugenzi TANAPA Allan Kijazi hajawahi kuwa mkuu wa majeshi, usimchanganye na mwenyekiti wa bodi ya TANAPA retired General George Mwita Waitara.Katibu mkuu maliasili mwanajeshi, mkurugenzi TANAPA awali alikuwa mkuu wa majeshi and host of assistant wanajeshi.
Bado kuna ujangili, kila mtu na taaluma yake.
Mombasa ni Tanzania?Kulaleki wallah..!!
PM yupo busy na kaburi la faru john huku watu wanafanya yao.
Hii nchi ni zaidi ya uijuavyo.
Kwani ni KENYA au Tanzania?![]()
Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.
Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.
Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.
Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Kuna kiazi mmoja anajidai eti yeye ndo source anafanya kazi bandari ya Dar,Dah kweli watu hawasomi kichwa cha habari mtu kaandika mombasa lkn watu wanatililika tu wakijua ni bongo
![]()
Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.
Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.
Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.
Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Kwani kuna umbali gani toka Mombasa na Tz, huu mzigo bila shaka umetokea bongo,Mombasa ni Tanzania?
'Kodi zetu kuleni ila mtuheshimu' Kimweri wa JFKwani chini ya utawala huu hao ndo wa kwanza kukamatwa na shehena ya pembe za ndovu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]'Kodi zetu kuleni ila mtuheshimu' Kimweri wa JF