Mombasa: Shehena ya Pembe za ndovu yakamatwa Bandarini

Mombasa: Shehena ya Pembe za ndovu yakamatwa Bandarini

mzigo uonekane mwenyewe asijulikane,meli iliyokamatwa na nyara za serikali mbona haikutaifishwa,tumeshawapa nchi kazi kwao.
 
Uwepo wa Kinana kwenye Safu ya CCM ndio haya matokeo yake!
 
Katibu mkuu maliasili mwanajeshi, mkurugenzi TANAPA awali alikuwa mkuu wa majeshi and host of assistant wanajeshi.

Bado kuna ujangili, kila mtu na taaluma yake.
Mkurugenzi TANAPA Allan Kijazi hajawahi kuwa mkuu wa majeshi, usimchanganye na mwenyekiti wa bodi ya TANAPA retired General George Mwita Waitara.
just for keeping records in good archives
 
a80c712869e446f413bd9bc6b7bd2a0b.jpg


Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.

Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.

Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.

Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
Kwani ni KENYA au Tanzania?
 
Uko bandari ipi? Au ndio ninyi vishoka!!!

a80c712869e446f413bd9bc6b7bd2a0b.jpg


Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.

Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.

Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.

Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
 
Watu mna stress habari zimetokea kenya,mna zihusisha na serikali ya Tanzania.Someni vizuri acheni kukariri
 
Back
Top Bottom