Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana tofauti kwa hakika, wapatie image ya watu wa kwao ama hata watoto wao kama wamezaa na mbwa kichwani tu wala isiwe vivid.Mnaoagiza picha, ipi tofauti yenu na hao wanaolipia kutazama, hivyo uletewe pich ya mtoto akifanya ngono na umbwa ili iweje.
Anyway ni aibu kubwa, binadamu amefikia pabaya bora dunia ilipuke tu.
Wakati mwengine huwa naona bora zombi fulani lifikie maeneo yaliko mabomu yote ya nyuklia na lianze kubonyeza bonyeza yakielekea maeneo yote duniani, maana nimekata tamaa na hii dunia.
Umesema sahihi sana. Hatuthamini utaifa wetu wala vizazi vyetu.Tatizo ni kuwa wanajua huku sheria inanunuliwa.
Wazungu ni watu wema sana hawawezi kufanya hivyo.
Kwenye uzi wa huyu anaejiita MK254 niligusia hayo lakini hakunielewa. Namshangaa kwa comment yake ya humu kuhusu wazungu.