DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!

Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.

P
Si imekuwa kweli? maza ni mdini haswa
 
tulimvumilia kwa uzi wake ule alioleta utabiri mwaka 2015. akaweka jina mwishoni kwenye watu 10 uwezekano wa kuwa kiongozi mkuu, hakika kama alivyooneshwa kwa jicho la rohoni ikawa. alijipatia sifa na heshima humu jukwaani; leo wanajitokeza wenye maono anawabeza na kuwaita waongo. 😠
 
tulimvumilia kwa uzi wake ule alioleta utabiri mwaka 2015. akaweka jina mwishoni kwenye watu 10 uwezekano wa kuwa kiongozi mkuu, hakika kama alivyooneshwa kwa jicho la rohoni ikawa. alijipatia sifa na heshima humu jukwaani; leo wanajitokeza wenye maono anawabeza na kuwaita waongo. 😠
Sema hata GENTAMYCINE 2013 alitabiri, 2014 Pascal Mayalla akaja na utabiri wake wa jicho la tatu kiujumla hawa wenzetu wana details nyingi ila wao Kwa wao wanachukuliana powa
 
Mkuu britanicca , kiukweli, umetisha!, nakuomba samahani kukuita muongo na mzushi!, na badala yake, kuanzia sasa nakupa maua yako.

P.
umeitendea haki heshima yako mkuu. huu ndio ustaarabu. nakurudishia hadhi yako. punde utapewa ubalozi ukale mema ya nchi.

1. kuna aliyebiri ajali ya ndege
2. mayala
3. britanicca
4. genta

* ni mapenzi yangu kuwapanga hivyo ieleweke tu wote ni miamba ya taarifa tatanishi kuziamini ila namba moja mmmh! ni kiroho zaidi. hawa wengine tutasema wanatumia uzoefu, taaluma zao au ukaribu na jiko. lakini kwa namba moja sina la kusema

"muungwana akivuliwa nguo huchutama"

HEKO PASIKALI
 
Jiwe aliishi maisha ya kudhania kuwa cdm ndiye adui namba Moja,kumbe chawa wa kummaliza wapo kwenye koti lake alilolivaa
Matokeo yake wakamlipua
Kwa kweli walichomfanyia JPM CCM ni mashetani.Alipigwa timing ya hatari na alijua wapinzani ndio tatizo kumbe sio kweli,na angekumbatia wapinzani hadi leo angekuwepo maana ndio watu sahihi,CCM kina muda toka kimeacha kuwa chama,limebaki ni genge la wahuni na wahalifu.
 
Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!

Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.

P
Hayawi hayawi Sasa yamekua
 
Back
Top Bottom