The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Utawala wa Samia hauna siri, yaani unaweza kujua kesho nini Samia atafanya.
Imagine watu walisema kule twitter tena watu wa hovyo tu kwamba Kidata anaondolewa, kweli wiki 2 mbele akaondolewa.
Huyu jamaa alisema wiki 3 zilziopita kwamba Mombo anateuliwa kua mkuu TISS, leo kweli anateuliwa.
Hii nchi siri hakuna tena.
Imagine watu walisema kule twitter tena watu wa hovyo tu kwamba Kidata anaondolewa, kweli wiki 2 mbele akaondolewa.
Huyu jamaa alisema wiki 3 zilziopita kwamba Mombo anateuliwa kua mkuu TISS, leo kweli anateuliwa.
Hii nchi siri hakuna tena.